Kuhusu nani anastahili kiatu mskie Othman Kazi, refa wa Mstaafu wa FIFA

Kuhusu nani anastahili kiatu mskie Othman Kazi, refa wa Mstaafu wa FIFA

Takataka tupu hizi, magoli kwenye timu zipi?

Mayele alikuwa anakabwa na kukamiwa na mabeki wa timu yoyote sababu ndiye 2022 aliyeipatia Yanga ubingwa, halikadhalika 2023 ni huyo huyo, utaanzaje kumnyima tuzo kwa Saidoo aliyejipigia timu 1 magoli ya michongo tele?

Assits, seriously? Ila Bongo kwa fitina hakuna kinachoshindikana maana si kwa kumkatalia Mayele magoli mengi sana 2022 kuwa ni offsides [emoji1]

Amkeni Mbumbumbu mnatuchosha bure tu Yanga FC [emoji57]

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Ona hili jamaa, ulitaka asikabwe? Basi mshauri aache mpira. Halafu unamtukana mleta mada wakati yeye kaleta hoja ya kikanuni. Hovyo kabisa wewe.
 
Saidoo kaleta kizungumkuti kipya kwa WanaMedali.

Hili nalo watataka waitwe na mama wakale ubwabwa wa bure ikiliwakubali yaishe...
Kelele zimekuwa nyingiiii kulilia kiatu! Jamaaaani! TFF hebu mpeni Said ili angalau wajiliwaze maana nyuzi zimekuwa nyingiiii zinajaza server bure wasikose vyote majirani zetu. Kuweni na Huruma. Kiatu chenyewe kimoja hawezi kukivaa mtaani abadan kitaishia kutundikwa ukutani na kusahaulika huko. Mwamba wa kweli wa kufumania nyavu anajulikana hata Waarabu wanamjua naye si mwingine bali ni Maestro Mayeleeeeeee!!!!!
 
Huu mjadala unawavua nguo member wengi sana JF..
"Penalti za ndani ya uwanja ni goals kama goals zingine. Ligi nyingi kubwa tier ya kwanza ni assist then dk alizocheza."
Hii ya kutumia penalti kama kigezo ni kichekesho itakuwa ni Tanzania pekee!!
 
Ona hili jamaa, ulitaka asikabwe? Basi mshauri aache mpira. Halafu unamtukana mleta mada wakati yeye kaleta hoja ya kikanuni. Hovyo kabisa wewe.
Hovyo square tena period, hujaangalia magoli mliyokuwa mnamnyima Mayele 2022 kwa ujinga wenu kuwa ni offsides kumbe ni PUMBA?

Rais wenu wa TFF kuwa Makolokolo kusiwafanye mjitoe ufahamu mkampatia Aden Rage unabii wa kuwaita vileeee [emoji23]

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Ni ukweli usiopingika
Ukose penalty useme huna magoli ya Penalty ni ujinga kiwango cha bandari
 
Ukishasoma jijibu tu mwenyewe nani apewe golden boot.

====

EPUKENI U BUSH LAWYER
Msimu wa Ligi Kuu 2022-23 umekamilika rasmi Leo kwa Wananchi Young Africans kutawazwa kuwa Mabingwa. Hongera sana Eng. Hersi, Rais wa Young Africans pamoja na GSM Kwa jitihada ya kuijenga team imara.

Sasa Niwape elimu ndogo tu kuhusu UFUNGAJI BORA NA KANUNI YAKE. Ifuatayo ni Kanuni ya Kombe la Dunia kuhusu UFUNGAJI BORA.

The Golden Boot is primarily decided on total number of goals scored by an individual player at the tournament, but should there be any level-pegging at the summit come the close of play then the award is settled using tiebreaker criteria: first assists, then fewest minutes played.

UFUNGAJI BORA Kimsingi huamuliwa kwa idadi ya jumla ya magoli yaliyofungwa na mchezaji mwenye magoli yanayo wazidi wapinzani wake kwenye shindano husika, ila inapotokea zaidi ya mchezaji mmoja kulingana kwa UFUNGAJI BORA a anayeongoza Mwisho wa shindano husika, basi vipengele vifuatavyo vitatumika kubaini Mfungaji Bora
1. Idadi ya assist
2. Dakika chache zaidi alizocheza.

KANUNI hii ilitungwa tarehe 15 December 2022 a Shirikisho la
Soka Ulimwenguni FIFA kwa ajili ya Mashindano ya kituo kama
Kombe la Dunia.
Said keshachukua kikanuni
Screenshot_20230609-214511.jpg
 
Takataka tupu hizi, magoli kwenye timu zipi?

Mayele alikuwa anakabwa na kukamiwa na mabeki wa timu yoyote sababu ndiye 2022 aliyeipatia Yanga ubingwa, halikadhalika 2023 ni huyo huyo, utaanzaje kumnyima tuzo kwa Saidoo aliyejipigia timu 1 magoli ya michongo tele?

Assits, seriously? Ila Bongo kwa fitina hakuna kinachoshindikana maana si kwa kumkatalia Mayele magoli mengi sana 2022 kuwa ni offsides [emoji1]

Amkeni Mbumbumbu mnatuchosha bure tu Yanga FC [emoji57]

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Mayele Kukabwa nayo Ni kanuni!.

Kweli hakuna mwenye Akili Utopoloni.

Na wewe Ni great thinker!
Screenshot_20230609-214511.jpg
 
Mayele ana advantage dhidi ya Saido, kwanini? Mayele kaiwezesha timu yake kuchukua ubingwa, ila Saido hakufanya hivyo, so Mayele ndio anastahili kupewa Golden Boot.

Saido mechi moja ameshinda magoli 5 ya kimchongo, huyo hastahili golden boot
Magoli matano kaifunga timu gani?
 
Huu mjadala unawavua nguo member wengi sana JF..
"Penalti za ndani ya uwanja ni goals kama goals zingine. Ligi nyingi kubwa tier ya kwanza ni assist then dk alizocheza."
Hii ya kutumia penalti kama kigezo ni kichekesho itakuwa ni Tanzania pekee!!
LIGI NYINGI Means kuna LIGI hawatumii huo mfumo.
 
Si kama makolo ndio mnaangaika angalau na nyie mpate chochote msimu baada ya kushindwa hata kupata kombe la mapinduzi,msikilize afisa habari wa tff hapa alifafanua msimu uliopita sheria za tff ziko vipi,saidoo ana goli karibia 5 za penalti
Kwani msimu huu Mayele si alipewa penati mkoani na akapaisha, au umesahau?
 
Saidoo kaleta kizungumkuti kipya kwa WanaMedali.

Hili nalo watataka waitwe na mama wakale ubwabwa wa bure ikiliwakubali yaishe...
Yah ni sahihi kuwaita wanaMedali
[emoji966]---NGAO YA JAMII
[emoji1628]---CAF
[emoji966]---NBC PL
 
Takataka tupu hizi, magoli kwenye timu zipi?

Mayele alikuwa anakabwa na kukamiwa na mabeki wa timu yoyote sababu ndiye 2022 aliyeipatia Yanga ubingwa, halikadhalika 2023 ni huyo huyo, utaanzaje kumnyima tuzo kwa Saidoo aliyejipigia timu 1 magoli ya michongo tele?

Assits, seriously? Ila Bongo kwa fitina hakuna kinachoshindikana maana si kwa kumkatalia Mayele magoli mengi sana 2022 kuwa ni offsides [emoji1]

Amkeni Mbumbumbu mnatuchosha bure tu Yanga FC [emoji57]

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Umeandika kwa jazba kweli.

Kwahyo unabishana na FIFA.
 
Back
Top Bottom