Rashda Zunde
JF-Expert Member
- May 28, 2022
- 204
- 231
TGOS C Mshahara 58,000/= 😁😁Ni hivi nyongeza ya mshahara kwa 23.3% inaanza kwa watumishi wa Umma wenye kima cha chini 300,000.. so approximately mtu huyo anapokea 70,000 extra!! Hizo asilimia zinakuwa zinapungua kadri mshahara unavyopanda!! The purpose is kulinda gap kwa wafanyakazi lisiwe kubwa.
Hivyo basi hii inamaanisha kuwa Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Rais SAMIA SULUHU HASSAN imetekeleza ahadi ya kuboresha maslahi ya watumishi wa Umma wenye kipato cha chini kwa maslahi makubwa ya Taifa na jamii kwa ujumla.
View attachment 2301024
Kuna wengine hawajui usidhani kila mtu ni kama wewe.Mbona mnatusumbua na jambo lililokwisha Isha siku ya Mei Mosi. Kwani sie hatujui kusoma na kuandika na huo ufafanuzi wenu
Hata mjitetee vipi! 2025 mtakalia kaa la moto nawaambia. Maana hakuna namna. Wacha tujaribu na wengine. Nyinyi tumewachoka kwa kweli na hizi bla bla zenu.Ni hivi nyongeza ya mshahara kwa 23.3% inaanza kwa watumishi wa Umma wenye kima cha chini 300,000.. so approximately mtu huyo anapokea 70,000 extra!! Hizo asilimia zinakuwa zinapungua kadri mshahara unavyopanda!! The purpose is kulinda gap kwa wafanyakazi lisiwe kubwa.
Hivyo basi hii inamaanisha kuwa Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Rais SAMIA SULUHU HASSAN imetekeleza ahadi ya kuboresha maslahi ya watumishi wa Umma wenye kipato cha chini kwa maslahi makubwa ya Taifa na jamii kwa ujumla.
View attachment 2301024