Kuhusu Nyumba Za Kupanga Alizosema Mh. Lukuvi

Kuhusu Nyumba Za Kupanga Alizosema Mh. Lukuvi

Kennedy

JF-Expert Member
Joined
Dec 28, 2011
Posts
54,894
Reaction score
64,043
Waziri Lukuvi. Sisi wapangaji tunakupa kongole nyingi sana kwa tamko lako la hivi majuzi,, sambamba na hilo bado umeacha ombwe la uwepo wa madalali kitu ambacho sisi hatujaona umuhimu wake ..

Serikali sikivu yenye viongoz sikivu tungeishauri haya yafuatayo kuondoa kero hiyo ya watu wanaitwa madalali; Kwakua hakuna nyumba iliyojengwa hewani tu ,nyumba zote zipo kweny kata,vijiji na ngaz zingnezo kweny serikali za mitaa ..

Hakuna sababu ya kuwepo dalali, nyumba za kupanga wamiliki wa nyumba waziorodheshe nyumba zao wanazopangisha katika serikal za mitaa na vijiji ama vingnevyo Wanaotafuta nyumba wote wataelekea serikal za mitaa kupata list ya nyumba zilipo mtaa husika na watakapofanikiwa kupata nyumba, walipe asilimia kadhaa kama Ada ya upangaji mtaa huo mf 0.5 au 1% ya kodi ya nyumba . Tatizo lililopo tunaacha sekta isiyorasmi inayoomuumiza mwananch wa kawaida had inakomaa na baadae tunakuja kukosa namna ya kudeal nayo kwa kigezo cha kusema sasa Hawa watu wataenda wap?

Kwa Madai kwamba watakua tishio kweny jamii pale watakapokosa hiyo kazi. Kwa kufanya hvo,tungeondoa mfumo wa Hovyo unaomtesa mpangaj anapohitaj kupanga nyumba lkn pia tungekua tumepata idadi halisi ya nyumba za kupanga ili kuweza kupata mapato ngaz ya mtaa,kata na kuendelea had Taifa.

Haimuhitaj mtu kwenda ulaya ili kusoma module ya usimamiz wa makazi hapa nchini.
 
Huu ndo ukweli,Tangu juzi madalali wanatishia wapangaji lakini ukweli kama serikali ikiamua Basi ikabizi hyo KAZI kwa serikali za mitaa tu na limit uwepo KWA percentage,hao madalali wakae walipwe posho na serikali za mitaa.


Tumechelewa sana mpaka madalali wanatamba mtaani na kutuumiza Zaid,muda ndo huu na hii ndo miswada inatakiwa kwenda bungeni
 
Hivi wakisema wenye nyumba walipe kodi, unadhani bei ya vyumba itabaki kuwa hii hii au nao watapandisha?
 
Waziri Lukuvi. Sisi wapangaji tunakupa kongole nyingi sana kwa tamko lako la hivi majuzi,, sambamba na hilo bado umeacha ombwe la uwepo wa madalali kitu ambacho sisi hatujaona umuhimu wake ..

Serikali sikivu yenye viongoz sikivu tungeishauri haya yafuatayo kuondoa kero hiyo ya watu wanaitwa madalali; Kwakua hakuna nyumba iliyojengwa hewani tu ,nyumba zote zipo kweny kata,vijiji na ngaz zingnezo kweny serikali za mitaa ..

Hakuna sababu ya kuwepo dalali, nyumba za kupanga wamiliki wa nyumba waziorodheshe nyumba zao wanazopangisha katika serikal za mitaa na vijiji ama vingnevyo Wanaotafuta nyumba wote wataelekea serikal za mitaa kupata list ya nyumba zilipo mtaa husika na watakapofanikiwa kupata nyumba, walipe asilimia kadhaa kama Ada ya upangaji mtaa huo mf 0.5 au 1% ya kodi ya nyumba . Tatizo lililopo tunaacha sekta isiyorasmi inayoomuumiza mwananch wa kawaida had inakomaa na baadae tunakuja kukosa namna ya kudeal nayo kwa kigezo cha kusema sasa Hawa watu wataenda wap?

Kwa Madai kwamba watakua tishio kweny jamii pale watakapokosa hiyo kazi. Kwa kufanya hvo,tungeondoa mfumo wa Hovyo unaomtesa mpangaj anapohitaj kupanga nyumba lkn pia tungekua tumepata idadi halisi ya nyumba za kupanga ili kuweza kupata mapato ngaz ya mtaa,kata na kuendelea had Taifa.

Haimuhitaj mtu kwenda ulaya ili kusoma module ya usimamiz wa makazi hapa nchini.
Wenye nyumba kuorodhesha nyumba siyo rahisi kwa kuwa wengi au asilimia kubwa hawalipi kodi sasa wakiorodheshwa watalazimika kulipishwa kodi
 
Basi watajitokeza madalali wa kuelekeza wapangaji kwenye ofisi za serikali za mitaa.😁!

Na watendaji wa mitaa watawahudumia wale tu waliopelekwa pale na madalali!

Mwenye nyumba kumlipa dalali siyo issue sababu atapandisha tu pango ipatikane ya dalali.

Lukuvi hajaanza leo kupiga siasa kwenye nyumba za kupanga.

Alianza na pango kulipwa kwa mwezi mmoja mmoja mara serikali ku-regulate pango la nyumba za kupanga kutokana na hadhi zake etc.
 
udalali ni kazi rasmi kwa nchi nyingi za wenzetu, tatizo hapa kwetu limekua ndio chaka la wababaishaji na watu wavivu wanaopenda pesa kiulaini
 
Watendaji msijaribu kuwapa huu ulaji. Mtakuja kujuta.
Ukimlipa Dalali au mwenye nyumba gharama itakuwa ileile.
 
Kumsagia kunguni dalali na kuacha udalali mwingine kwenye ofisi za serikali ya mtaa.
Ni uonevu ,,mtupu.

Hi zile 10 % wanazochukuwa serikali ya mtaa baada ya kufanyika biashara ya shamba au kiwanja chochote ni za nn?
 
Waziri Lukuvi. Sisi wapangaji tunakupa kongole nyingi sana kwa tamko lako la hivi majuzi,, sambamba na hilo bado umeacha ombwe la uwepo wa madalali kitu ambacho sisi hatujaona umuhimu wake ..

Serikali sikivu yenye viongoz sikivu tungeishauri haya yafuatayo kuondoa kero hiyo ya watu wanaitwa madalali; Kwakua hakuna nyumba iliyojengwa hewani tu ,nyumba zote zipo kweny kata,vijiji na ngaz zingnezo kweny serikali za mitaa ..

Hakuna sababu ya kuwepo dalali, nyumba za kupanga wamiliki wa nyumba waziorodheshe nyumba zao wanazopangisha katika serikal za mitaa na vijiji ama vingnevyo Wanaotafuta nyumba wote wataelekea serikal za mitaa kupata list ya nyumba zilipo mtaa husika na watakapofanikiwa kupata nyumba, walipe asilimia kadhaa kama Ada ya upangaji mtaa huo mf 0.5 au 1% ya kodi ya nyumba . Tatizo lililopo tunaacha sekta isiyorasmi inayoomuumiza mwananch wa kawaida had inakomaa na baadae tunakuja kukosa namna ya kudeal nayo kwa kigezo cha kusema sasa Hawa watu wataenda wap?

Kwa Madai kwamba watakua tishio kweny jamii pale watakapokosa hiyo kazi. Kwa kufanya hvo,tungeondoa mfumo wa Hovyo unaomtesa mpangaj anapohitaj kupanga nyumba lkn pia tungekua tumepata idadi halisi ya nyumba za kupanga ili kuweza kupata mapato ngaz ya mtaa,kata na kuendelea had Taifa.

Haimuhitaj mtu kwenda ulaya ili kusoma module ya usimamiz wa makazi hapa nchini.
Unataka watu watupiane majini kugombea uenyekiti na ujumbe wa serikali ya mtaa?
 
Back
Top Bottom