Kuhusu register.

Joined
Aug 31, 2017
Posts
27
Reaction score
33
Habari wadau. Hii njia ya posta ya kutuma barua kwa register inachukua muda gani barua kufika mahali husika. Mwenye uzoefu anijuze!
 
Hii njia nimewahi tumia. Ukiituma barua inafika sehem husika kwa haraka(yaani posta ya unapokusudia barua ifike) ila mhusika au ofisi husika lazima wafuate posta, bila hivo haifiki. Uzuri wake unaweza kumonita kama imechukuliwa na uliye kusudia imfikie.
 
Thanks.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…