Kuhusu sheria ya kuweka video YOUTUBE

Nyenyere

JF-Expert Member
Joined
Sep 9, 2010
Posts
14,804
Reaction score
10,715
Wakuu,

Naomba kujuzwa kuhusu sheria iliyowekwa hapa Tanzania ya kupost content kwenye youtube channel. Je, ni content za aina gani ambazo zinapaswa kulipiwa hiyo tshs 1,000,000 au labda ni channel yoyote ile mradi tu unafungua youtube?

Hii ni njia mbaya kabisa ya kuzuia vijana kujipatia kipato katika nchi ambayo ajira ni kitendawili.
 
Lengo lao tufe na njaa.ila hatufi tunakomaa ileile..
 
Nene nale lichaneli YouTube! Batozonituja! Onene naleweka muvidio bamiso ba mamiyo balelola,ango baleyomba ginehe..?
Neyo lolo! This is too much batozotutuja.
 
Nene nale lichaneli YouTube! Batozonituja! Onene naleweka muvidio bamiso ba mamiyo balelola,ango baleyomba ginehe..?
Neyo lolo! This is too much batozotutuja.
Bhugudima ng'wanomayu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…