LIMBOMAMBOMA
JF-Expert Member
- Oct 3, 2017
- 10,482
- 14,007
Magu kadhalilisha mpaka ccm yenyewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtakula mlipopeleka mbogaMagufuli hayuko sahihi kwa mambo mengi sana msimu huu ni kama amerukwa na akili anaongea kilugha hovyo hovyo.
Sumu haijaribiwi kwa kuonja. Wapinzani watasubiri Sana.Mlishawahi kuwapa nchi wapinzani wakaharibu au ndo zile kauli za kusema ETI MKIMKOSA RAIS JOHN SIDHANI KAMA TUTAPATA MWENYE MOYO KIZALENDO KAMA,HUYU"
Na mboga zenyewe zishaliwa na viongozi wa saccos.Mtakula mlipopeleka mboga
[emoji3][emoji3][emoji3]Na mboga zenyewe zishaliwa na viongozi wa saccos.
Bunda, wamenyimwa barabara!Mkuu, hivi unaelewa kiswahili? NImesema toa mfano wa "walikonyimwa" miradi ya maendeleo kwa sababu za kisiasa, wewe unasema Magufuli amesema akiwa Magu!
Wanaishia Kula viwavijeshi!Jimboni kwa Ndugai ni CCM watu wote hadi kuku ila wanalia na kusaga meno.