Kuhusu swala la ajira utaratibu ulibadilika awamu wa 5 Kulirundikwa watu mtaani sasa mama anahangaika kupunguza angalau hili wimbi la unemplyoment

Kuhusu swala la ajira utaratibu ulibadilika awamu wa 5 Kulirundikwa watu mtaani sasa mama anahangaika kupunguza angalau hili wimbi la unemplyoment

deblabant

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2022
Posts
2,650
Reaction score
4,065
Jk alikuwa na utaratibu mzuri sana kila mwaka husika anaajiri walimu au madaktari wote waliohitimu huo mwaka kiasi ambacho kulikuwa kuna scarcity ya watu mtaani na ikapelekea private sector lazima watoe mishahara mikubwa ili kumconnvince mtu asiende serikalini.

Sasa lilikuja likaharibu kila kitu ambapo sasa Rais Samia is sufferinh at the cost of this dude.

Sijui angekuwa anaishi hali ingekuwaje mpaka sasa mana alikuwa hajari kabisa.

Tazama sasa hivi ajira za ualimi zilizotangazwa ni elfu 11 lakini aplication ni laki mbili
 
Jk alikuwa na utaratibu mzuri sana kila mwaka husika anaajiri walimu au madaktari wote waliohitimu huo mwaka kiasi ambacho kulikuwa kuna scarcity ya watu mtaani na ikapelekea private sector lazima watoe mishahara mikubwa ili kumconnvince mtu asiende serikalini.

Sasa lilikuja lijitu likaharibu kila kitu ambapo ssa Samia is sufferinh at the cost of this dude.

Sijui angekuwa anaishi hali ingekuwaje mpaka sasa mana alikuwa hajari kabisa.

Tazama sasa hivi ajira za ualimi zilizotangazwa ni elfu 11 lakini aplication ni laki mbili
Mavi!
 
Jk alikuwa na utaratibu mzuri sana kila mwaka husika anaajiri walimu au madaktari wote waliohitimu huo mwaka kiasi ambacho kulikuwa kuna scarcity ya watu mtaani na ikapelekea private sector lazima watoe mishahara mikubwa ili kumconnvince mtu asiende serikalini.

Sasa lilikuja lijitu likaharibu kila kitu ambapo ssa Samia is sufferinh at the cost of this dude.

Sijui angekuwa anaishi hali ingekuwaje mpaka sasa mana alikuwa hajari kabisa.

Tazama sasa hivi ajira za ualimi zilizotangazwa ni elfu 11 lakini aplication ni laki mbili
Majitu Majinga majinga duani kama hili liloandika hayajawahi kuisha.
 
Sawa Ila you waste ur time kulaumu MTU ambaye hakusikii

Mshahara wa Mwalimu hata ungeajiriwa usingebadilisha chochote zaidi ya kununua gari la mkopo na kujenga nyumba ya mkopo
ATA Aya ni mabadiliko mbona kwani unataka anunue ndege ndio ujue amepata mabadiliko?
 
Sawa Ila you waste ur time kulaumu MTU ambaye hakusikii

Mshahara wa Mwalimu hata ungeajiriwa usingebadilisha chochote zaidi ya kununua gari la mkopo na kujenga nyumba ya mkopo
Una changamoto ya kifikra,
 
Jk alikuwa na utaratibu mzuri sana kila mwaka husika anaajiri walimu au madaktari wote waliohitimu huo mwaka kiasi ambacho kulikuwa kuna scarcity ya watu mtaani na ikapelekea private sector lazima watoe mishahara mikubwa ili kumconnvince mtu asiende serikalini.

Sasa lilikuja likaharibu kila kitu ambapo sasa Rais Samia is sufferinh at the cost of this dude.

Sijui angekuwa anaishi hali ingekuwaje mpaka sasa mana alikuwa hajari kabisa.

Tazama sasa hivi ajira za ualimi zilizotangazwa ni elfu 11 lakini aplication ni laki mbili
Lekebisha hapo mama anatafuta kisingizio cha kuiba kura sio kuhangaika kupunguza unemployment
 
Jk alikuwa na utaratibu mzuri sana kila mwaka husika anaajiri walimu au madaktari wote waliohitimu huo mwaka kiasi ambacho kulikuwa kuna scarcity ya watu mtaani na ikapelekea private sector lazima watoe mishahara mikubwa ili kumconnvince mtu asiende serikalini.

Sasa lilikuja likaharibu kila kitu ambapo sasa Rais Samia is sufferinh at the cost of this dude.

Sijui angekuwa anaishi hali ingekuwaje mpaka sasa mana alikuwa hajari kabisa.

Tazama sasa hivi ajira za ualimi zilizotangazwa ni elfu 11 lakini aplication ni laki mbili
Mama Samia anauza nchi anasainisha Kila aina ya rasilimsli hafu anakuja ng'ombe mmoja anasema anatoa ajira
 
Kumbe wewe mpuuzi ndio kazi unavyofanya humu?

Kufungua nyuzi zinazomuhusu za kumdemonize Magufuli na kumpamba Samia sababu ya hizi ajira za danganya toto???

Wewe dogo unaonekana umetoka familia ya kimaskini sana, walahii

Na bila Samia kukupa ajira inaonekana ungechukua uamuzi WA kujiua nyau wewe.
 
Huyo mama yenu mnavyompa maua yenye sumu mnamharibu na kumharibia
 
Jk alikuwa na utaratibu mzuri sana kila mwaka husika anaajiri walimu au madaktari wote waliohitimu huo mwaka kiasi ambacho kulikuwa kuna scarcity ya watu mtaani na ikapelekea private sector lazima watoe mishahara mikubwa ili kumconnvince mtu asiende serikalini.

Sasa lilikuja likaharibu kila kitu ambapo sasa Rais Samia is sufferinh at the cost of this dude.

Sijui angekuwa anaishi hali ingekuwaje mpaka sasa mana alikuwa hajari kabisa.

Tazama sasa hivi ajira za ualimi zilizotangazwa ni elfu 11 lakini aplication ni laki mbili
Ipo siku utashindwa kubeba mimba ya mumeo na kumlaumu JPM
 
Jk alikuwa na utaratibu mzuri sana kila mwaka husika anaajiri walimu au madaktari wote waliohitimu huo mwaka kiasi ambacho kulikuwa kuna scarcity ya watu mtaani na ikapelekea private sector lazima watoe mishahara mikubwa ili kumconnvince mtu asiende serikalini.

Sasa lilikuja likaharibu kila kitu ambapo sasa Rais Samia is sufferinh at the cost of this dude.

Sijui angekuwa anaishi hali ingekuwaje mpaka sasa mana alikuwa hajari kabisa.

Tazama sasa hivi ajira za ualimi zilizotangazwa ni elfu 11 lakini aplication ni laki mbili
Bado Tu mnapambana na marehemu?
 
Back
Top Bottom