MTONILIST Member Joined Apr 20, 2012 Posts 78 Reaction score 11 Jul 19, 2014 #1 Naombeni mnijuze wadau kwa kidato cha sita ambao matokeo yametoka juzi wataanza kujaza lini vyuo vikuu maana najaza najibiwa namba ya mtihani yq form sic haipo kwenye system. Watuambie tutaanza baada ya muda gani.
Naombeni mnijuze wadau kwa kidato cha sita ambao matokeo yametoka juzi wataanza kujaza lini vyuo vikuu maana najaza najibiwa namba ya mtihani yq form sic haipo kwenye system. Watuambie tutaanza baada ya muda gani.
C chikuyu JF-Expert Member Joined Oct 30, 2013 Posts 277 Reaction score 179 Jul 19, 2014 #3 Mbona mi nimefanikiwa kujaza na sijaambiwa kuhusu form six number missing in the system.... everything was mwah...
Mbona mi nimefanikiwa kujaza na sijaambiwa kuhusu form six number missing in the system.... everything was mwah...
MTONILIST Member Joined Apr 20, 2012 Posts 78 Reaction score 11 Jul 19, 2014 Thread starter #4 Kaka we matokeo yametoka juzi au ulimaliza miaka iliyopita maana mi wamenijibu kwamba kunanarekebisho kidogo wanafanya
Kaka we matokeo yametoka juzi au ulimaliza miaka iliyopita maana mi wamenijibu kwamba kunanarekebisho kidogo wanafanya
MTONILIST Member Joined Apr 20, 2012 Posts 78 Reaction score 11 Jul 19, 2014 Thread starter #5 Ahasante