Naombeni mnijuze wadau kwa kidato cha sita ambao matokeo yametoka juzi wataanza kujaza lini vyuo vikuu maana najaza najibiwa namba ya mtihani yq form sic haipo kwenye system. Watuambie tutaanza baada ya muda gani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.