Kuhusu Triple C, Mwakalabela aiomba msamaha Simba SC, asema alikuwa anatania

Huyo unayemwita mwamba Hana umwamba wowote ule labda ule wa kuropoka na siyo vinginevyo...ni hovyo kabisa...si ndiyo huyu unayemwita mwamba alisambaza video ya maongezi Kati ya makame na molinga? Je anafahamu madhara ya kusambaza video hiyo? Tukiacha hayo ya mnayemwita mwamba huyu naye mwenye chel Cha makamu wa ..wa Yanga naye ni hovyo kabisa...yaani masuala ya usajili anachukulia utani?! Kwa klabu kubwa Kama Yanga kuwa na mtu wa aina hij ni hatari...ina idi aniuzulu mwenyewe bila kulazimishwa....asipojiuzulu ataondolewa kwa nguvu kwa kuiaibisha klabu...hovyo kabisa...Hii Yanga uongozi wake ni wa mashaka makubwa...
 
Huyo unayemwita mwamba Hana umwamba wowote ule labda ule wa kuropoka na siyo vinginevyo...ni hovyo kabisa...si ndiyo huyu unayemwita mwamba alisambaza video ya maongezi Kati ya makame na molinga? Je
nani kakupa mamlaka ya kunipangia jina la kumwita Haji?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…