Kuhusu tuhuma za kuwa Ikulu ya Kenya yatoa amri kuwa kila mkenya anapaswa kuishi alipotoka; Kalenjis wanataka Uhuru asikanyage kwao

Mwaka 2017 wajaluo 67 waliuliwa kwa risasi za serikali ambazo hununuliwa na kodi zao wenyewe. Kwahiyo kwasababu hawa kuuliwa kwa panga wewe kwako ni ushindi?
Ulitoa wapi hizi statistics?
 
Kenya ukabila ni ndugu
 
Kila uchaguzi wakenya huchinjana mapanga...
2013 na 2017 sikuona watu wakichinjana..omba 2022 labda mara hii dua yako itapokelewa na ndoto zako pia kutimia..
Watu labda watachinjana kinoma
2022 lazima mchinjane tu sababu ni kutaka Kenya iwe na viongozi wanao ongoza kama viongozi wa tz Kwa sababu 2022 tanzania itakuwa imefanya mambo makubwa na kuzindua mambo makubwa na kusifiwa hadi na mabeberu licha ya kutokupenda hadi RAIA wa nchi za mabeberu watataka kuwa na kiongozi kama magufuli
 
Omba Mungu sana basi tuchinjane...si ajabu mara hii ndoto zenu zitatimia...

Mkiona haiwezekani nendeni mpka kw wachawi...manake 2013 na 2017 dua zenu zimeangukia pua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…