Airmanula
JF-Expert Member
- Nov 30, 2016
- 3,527
- 5,762
Imekua ni kasumba kwa huyu mtangazaji anajiita Kitenge ambaye anafanya kazi Radio ya Wasafi, kuja na tuhuma mbalimbali kuhusu SIMBA na zaidi tunajua anatumiwa na watu wasioitakia mema SIMBA sababu wanaumia na MAFANIKIO ya SIMBA na wengine roho zinawauma kupita kiasi wakiona SIMBA anafanya vizuri.
Naomba kwa UMOJA wetu, tuache kusikiliza WASAFI FM na zaidi kuangalia WASAFI TV hadi pale atakapofukuzwa kabisa. Wapo waandishi wa habari za michezo wenye WELEDI, hawana kazi au hawapo kwenye media house kubwa nchini, wapewe nafasi. Najua kuna wana SIMBA ni wapenzi wakubwa wa WASAFI lakini kwa hili naomba tuwe WAMOJA. Tupambane na hawa MAMLUKI na wanaotumwa kuja kutuchafua.
Naomba kwa UMOJA wetu, tuache kusikiliza WASAFI FM na zaidi kuangalia WASAFI TV hadi pale atakapofukuzwa kabisa. Wapo waandishi wa habari za michezo wenye WELEDI, hawana kazi au hawapo kwenye media house kubwa nchini, wapewe nafasi. Najua kuna wana SIMBA ni wapenzi wakubwa wa WASAFI lakini kwa hili naomba tuwe WAMOJA. Tupambane na hawa MAMLUKI na wanaotumwa kuja kutuchafua.