Dampa
JF-Expert Member
- May 29, 2017
- 810
- 1,264
Dah huu usimba na uyanga sasa unataka kuwa janga la taifa yaani mtu afukuzwe kazi simba kusemwa vibaya hahaaaaaaa hizi bangi kabisa tena za njaaa
Haji mwenyew mropokaji tu anayemuunga mkono huwa nakuwa namashaka na akili zake huwezi simba ni kitu gani isisemwe zinaandamwa timu kubwa duniani huko kama man u ,city nk leo simba tu ndo iwe mpk watu wafukuzwe kazi acheni uzwazwa nyie kuongoza kundi ndo mnaanza makelele hivi dah je mkichukua kombe sasa si mtadai kuhama nchi kabisa kwamba nyie sio level ya Tanzani nyambafu kabisa na msemaji wenu huyo nguruwe wa kizungu msituzingue nyie
Haji mwenyew mropokaji tu anayemuunga mkono huwa nakuwa namashaka na akili zake huwezi simba ni kitu gani isisemwe zinaandamwa timu kubwa duniani huko kama man u ,city nk leo simba tu ndo iwe mpk watu wafukuzwe kazi acheni uzwazwa nyie kuongoza kundi ndo mnaanza makelele hivi dah je mkichukua kombe sasa si mtadai kuhama nchi kabisa kwamba nyie sio level ya Tanzani nyambafu kabisa na msemaji wenu huyo nguruwe wa kizungu msituzingue nyie