Kama anao kwanini asi behave in acceptable manner? kwa hiyo hao anaowafanyia character asasination hawana ndugu nyuma yao?Acha roho mbaya mkuu
Kumbuka anao watu nyuma yake wanamtegemea
Hoja ya kipuuzi Sana hii, kabla huja mjudge mtu jitazame kwanza wewe Kama upo Bora Sana kuliko mwenzako....
Mind ur business mkuu
Utopolo sikuhizi mmegundua njia pekee ya kujifariji ni kutunga habari za uzushi dhidi ya mnyama maana timu yenu ishaharibika.Mashabiki wa simba wanadeka sana. Halafu wanapenda muda wote timu yao kusifiwa tu hata katika mambo ya hovyo hovyo.
Mbaya zaidi kwenye miaka ya karibuni, wamejigeuza kuwa misukule ya Haji Manara! Akisema Manara chochote, basi wote huitikia "hewalaaa" Huyo Manara akitukana, na wenyewe wanatukana!
Hata sishangai Rage alipo waita mbumbumbu! Na natambua fika mtakuja. Hivyo nawasubiri kwa hamu. Mbumbumbu wakubwa nyinyi! aka [emoji82][emoji82] mapaka fc.
Muone mbumbumbu fc huyu katika ubora wake! Hamchelewi nyinyi kwenda kwenye hizo studio za Wasafi na Mapaka ya kutosha tu ๐ฟ๐๐ผ๐ธ๐บ kwenda kumtisha huyo Maulidi Kitenge.Jina lenyewe kitenge halafu ana kidoti
Halafu hana kichogoJina lenyewe kitenge halafu ana kidoti
Nyani leo mnaenda kukeketwa huko ArushaMuone mbumbumbu fc huyu katika ubora wake! Hamchelewi nyinyi kwenda kwenye hizo studio za Wasafi na Mapaka ya kutosha tu [emoji80][emoji79][emoji78][emoji75][emoji74] kwenda kumtisha huyo Maulidi Kitenge.
Mashabiki wa simba wanadeka sana. Halafu wanapenda muda wote timu yao kusifiwa tu hata katika mambo ya hovyo hovyo.
Mbaya zaidi kwenye miaka ya karibuni, wamejigeuza kuwa misukule ya Haji Manara! Akisema Manara chochote, basi wote huitikia "hewalaaa" Huyo Manara akitukana, na wenyewe wanatukana!
Hata sishangai Rage alipo waita mbumbumbu! Na natambua fika mtakuja. Hivyo nawasubiri kwa hamu. Mbumbumbu wakubwa nyinyi! aka ๐พ๐พ mapaka fc.
.Tena hapa ndiyo unajiona umeandika point? Heri hao walioitwa Misukule kuliko Nyinyi mulioitwa Nyani na Mbwa
Habari za huko kwenu utopolo corona fc ..wazee wa kazi tushatuma BUNDI kama 17 hivi wapo hapo wananguruma mitaa ya jangwani ..na bado yani yanga itapasuka vipande vipandeMashabiki wa simba wanadeka sana. Halafu wanapenda muda wote timu yao kusifiwa tu hata katika mambo ya hovyo hovyo.
Mbaya zaidi kwenye miaka ya karibuni, wamejigeuza kuwa misukule ya Haji Manara! Akisema Manara chochote, basi wote huitikia "hewalaaa" Huyo Manara akitukana, na wenyewe wanatukana!
Hata sishangai Rage alipo waita mbumbumbu! Na natambua fika mtakuja. Hivyo nawasubiri kwa hamu. Mbumbumbu wakubwa nyinyi! aka [emoji82][emoji82] mapaka fc.
Hahaha hamjaanza kupigana mapanga hapo vidimbwi fc mana si kwa vita linalotaka kuanzaMashabiki wa simba wanadeka sana. Halafu wanapenda muda wote timu yao kusifiwa tu hata katika mambo ya hovyo hovyo.
Mbaya zaidi kwenye miaka ya karibuni, wamejigeuza kuwa misukule ya Haji Manara! Akisema Manara chochote, basi wote huitikia "hewalaaa" Huyo Manara akitukana, na wenyewe wanatukana!
Hata sishangai Rage alipo waita mbumbumbu! Na natambua fika mtakuja. Hivyo nawasubiri kwa hamu. Mbumbumbu wakubwa nyinyi! aka [emoji82][emoji82] mapaka fc.