Habari iliyopo kuhusu uchaguzi wa rais wa FIFA ni kwamba, Giant Infantino amepita bila kupingwa kwa sababu hakuna mgombea mwingine aliyechukua fomu za kugombea.
Gian Infantino ambaye ni rais wa sasa FIFA, anasubiri kupitishwa na mkutano mkuu utakaofanyika mwezi machi 2023 huko nchini Rwanda.
Chanzo: Star Tv Habari/Michezo (8:00 PM: 18-11-2022)
Gian Infantino ambaye ni rais wa sasa FIFA, anasubiri kupitishwa na mkutano mkuu utakaofanyika mwezi machi 2023 huko nchini Rwanda.
Chanzo: Star Tv Habari/Michezo (8:00 PM: 18-11-2022)