lisbon eliado tibeliado
Member
- Jun 7, 2020
- 41
- 11
Subria kuanzia tarehe 15/6jamani nilikuwa naomba kuuliza dirisha la udahili kwa kozi za afya september intake kwa ngazi za stashahada na astashahada kwa mwaka wa masomo 2021/2022 litafunguliwa lini kwa vyuo vya serikali?! msaada tafadhali
Kesho jumamosi tarehe 15/05/2021 stay tuned dirisa la nacte la September intake 2021/2022 litafunguliwajamani nilikuwa naomba kuuliza dirisha la udahili kwa kozi za afya september intake kwa ngazi za stashahada na astashahada kwa mwaka wa masomo 2021/2022 litafunguliwa lini kwa vyuo vya serikali?! msaada tafadhali
oh sawa,ahsante kwa kunijulisha mkuuKesho jumamosi tarehe 15/05/2021 stay tuned dirisa la nacte la September intake 2021/2022 litafunguliwa
dah nikafikir litawahi zaid ya mwaka jana kwa sasa janga la covid limepunguaSubria kuanzia tarehe 15/6
Kesho jumatatu nitatangaza rasmi kufunguliwa kwa maombi mwaka wa masomo 2021/22jamani nilikuwa naomba kuuliza dirisha la udahili kwa kozi za afya september intake kwa ngazi za stashahada na astashahada kwa mwaka wa masomo 2021/2022 litafunguliwa lini kwa vyuo vya serikali?! msaada tafadhali
oh sawa,tunasubiriKesho jumatatu nitatangaza rasmi kufunguliwa kwa maombi mwaka wa masomo 2021/22
kabisa mkuu,angalau nimepata muelekeoNatumae mleta mada umepata muongozo...