Kuhusu UDOM

Kuhusu UDOM

mropper imran

Member
Joined
Oct 10, 2014
Posts
7
Reaction score
0
ndugu wanajamii forum naomba kuuliza! Mimi nimechaguliwa udom Bsc. with education.

Je, ni lazima nilipe gharama zote ndio nisajiliwe chuoni? na kama jibu ndiyo, inakuwaje kwa m2 asiyekuwa na gharama hizo na anategemea tu mkopo?

Mi mkopo wamenipa 100%
 
Kama umepewa 100% lipia direct cost 282,500 hyo ni lazma na usilete habari ya huna hela chuoni wao hawajui hlo...kopa ukipata boom rudsha
 
Kama una 100%, unachotakiwa kulipa ni direct cost tu, hiyo ni lazima na haihusiani na mkopo, bila kulipa hiyo hakuna usajili.
 
Hvi accomodation pale udom ni lazima ulipe ya mwaka mzma au unaweza kulipa ya semister..nataka kumlipia my mdogo lakni cjui hata utaratibu wao ukoje!
 
Hvi accomodation pale udom ni lazima ulipe ya mwaka mzma au unaweza kulipa ya semister..nataka kumlipia my mdogo lakni cjui hata utaratibu wao ukoje!

ni yote hakuna cha nusunusu hapoo
 
Udoso ni serikali ya wanafunzi udom huwa kla mwanafunzi analipia benki na ni lazma tembelea web ya chuo wameweka a/c zote
 
Direct cost ni lazma utalala kwa nani bla kulipa,unaweza lipia kwa semister inategemea na college na coz
 
IPO HV
Registration 5,000
Examination fee 20,000
Graduation fee(once) 10,000
Identity card (once) 5,000
Bima 100,000
Caution money 20,000
Accommodation 122,500

NB bima kama unayo yakwako utalipia 40600

Na pesa ya accommodation unaweza lipia nusu yake ila sema huwa inazingua ila maelezo yko yanaweza kukusaidia wakakubali
 
Kaka mm nina fee structure ,lakn siioni hyo a/c ya udoso,msaada jamani

Mimi sio mkaka.

Halafu hiyo ni fee structure kwani umeona kuna direct cost humo? Ndio hivyo unatakiwa ulipe udoso ni serikali ya wanafunzi maana ukiwa unajisajili kuna sehemu udoso wana clear kama umelipa usipofanya hivyo utaanza kuhangaika tena na kurudia foleni upya tafuta wenzako wakupe account ya udoso au waulize waliopo mbele yako
 
Back
Top Bottom