Kuhusu UDOM

Kuhusu UDOM

hapo n lazma ulipe yote, ada ndo wanapokea nusu

Sidhani kama watakataa nusu ya accomodation sema ulizia inakua bei gani maana unaweza sema uchukue total yao ugawe kwa mbili kumbe wao wamepanga kiasi chao so ulizieni kwanza
 
Mimi sio mkaka.Halafu hiyo ni fee structure kwani umeona kuna direct cost humo?Ndio hivyo unatakiwa ulipe udoso ni serikali ya wanafunzi maana ukiwa unajisajili kuna sehemu udoso wana clear kama umelipa usipofanya hivyo utaanza kuhangaika tena na kurudia foleni upya tafuta wenzako wakupe account ya udoso au waulize waliopo mbele yako

Dogo nawe haupo seriouz tatzo mnachat whatsapp na Facebook badala ya kutembelea web za chuo chako kwanza,sahv umekuwa chukua mambo ki uzto na ki uangalifu zaid
 
Oya wadau wa udom,mfano mdogo angu mie hana ndugu dodoma na wala hajawah kukanyaga ardhi ya huo mkoa kabisa,sasa akifka masuala ya kujua amepangwa block gani na rum number ngapi anayajuaje?afu,kaambiwa cjui ariport school of busness and economics,hiyo ndo iko upande gani hapo udom?
 
Oya wadau wa udom,mfano mdogo angu mie hana ndugu dodoma na wala hajawah kukanyaga ardhi ya huo mkoa kabisa,sasa akifka masuala ya kujua amepangwa block gani na rum number ngapi anayajuaje?afu,kaambiwa cjui ariport school of busness and economics,hiyo ndo iko upande gani hapo udom?

College of humanities and social science......ntampa wenyeji atajiskia vzur tu na hope watamuongoza vzur
 
College of humanities and social science......ntampa wenyeji atajiskia vzur tu na hope watamuongoza vzur

changamoto gani kubwa zilizopo udom hasa kwa mtoto wa kiume?maji na umeme c ni vya uhakika?
 
Katika suala la malipo hasa ya michango ( direct cost) mwanachuo anahitajika kulipa michango yote ambayo ni sh.282,500.

Ili kueusha usumbufu usiokuwa Wa lazima ni vyema mwanachuo akalipia michango yote kwani ukifika tu kitu cha kwanza watakuhitaji upande kwenye sehemu husika ya usajili ukiwa umelipa kiwango tajwa.

Kuhusiana na malipo ya ada (tuition fee) utalipa kulingana na kiwango cha mkopo ulichopata...nikiwa na maana kwamba umepata asilimia ngapi..kama haujafaham jinsi ya kukokotoa mkopo wako mchanganuo hutolewa pindi mnapofika pale chuoni.

Kwa ujumla mazingira ni ya kawaida na yanakuruhusu kusoma (kwa wale Wa education) changamoto ni chache tu hasa upatikanaji Wa maji ambao ni kwa asilimia 80 kama alivyochangia mdau hapo juu..

Kuhusu suala la kulipa nusu bado haijulikan kama wataukubali huo mfumo japo walisema unaweza kutumika ila kwa mwanachuo ambae atachelewa kulipia michango yake matokeo yake huendelea kushikiliwa mpaka pale atakapokamilisha michango yote..!!

Hongereni na karibun UDOM..!!
 
Back
Top Bottom