Kuhusu uombaji wa mkopo kwa wanafunzi wa elimu ya juu.

Joined
Apr 3, 2013
Posts
53
Reaction score
0
Jamani wana Jf, naomba kujulishwa kwamba form ya mkopo inagarimu ela kiasi gani? yaani kuanzia kuiprint hadi kuituma, garama zake zote kwa ujumla ni kiasi gani? na garama hzo zinalipiwa wapi na wap na @ upande ni ela kiasi gani??
 
10000000000000 Acha uvivu kuangalia heslb. kuhusu swala la kuprint nenda internet cafe yoyote kutuma utajua posta ila andaa kama 70000 hivi pamija za kuonga mahakimu wa certify vyeti
 
Nashkuru kwa kunijibu vizuli ila So kwamba mie ni mvivu wa kutembelea heslb!! huwa naifunguaga sometime ila sijawai kupata ayo maisue ndo mana nauliza ndug yang.
 
mmmmh siku hizi unamaliza yote hayo online bhana,hakuna kuhangaika kuprint zaidi sana unanunua vocha elfu ishirini maalum kwa ajili ya mkopo zinapatikana CRDB.
 
Mh!! Jaman, mambo yote yataishiaje online?? vipi kuusu abali za uthibitisho kutoka kwa mwenyekiti wa kijiji na mahakimu ??? ambao naskia nao wanahusika?
 
mmmmh siku hizi unamaliza yote hayo online bhana,hakuna kuhangaika kuprint zaidi sana unanunua vocha elfu ishirini maalum kwa ajili ya mkopo zinapatikana CRDB.

eeeeh mkuu mbona kama haujielewi,unajaribu kuudanganya umma kwa kitu usichokojua.nadhani una hangover za mchana za makande na mayai ya kuchemsha.
 
eeeeh mkuu mbona kama haujielewi,unajaribu kuudanganya umma kwa kitu usichokojua.nadhani una hangover za mchana za makande na mayai ya kuchemsha.

ww nahisi umesoma enzi za mwl usinipotezee muda,naongea kitu nina uhakika nacho.
 
Mh!! Jaman, mambo yote yataishiaje online?? vipi kuusu abali za uthibitisho kutoka kwa mwenyekiti wa kijiji na mahakimu ??? ambao naskia nao wanahusika?

hii ni karne ya sayansi na teknolojia mkuu,mi mdogo wangu sijamsikia anaenda kwa mwenyekiti wala hakimu kila kitu alimaliza online.
 
ww nahisi umesoma enzi za mwl usinipotezee muda,naongea kitu nina uhakika nacho.
ivi bado hawa vichaa waliotoroka milembe hawajakamatwa!hii unayosema labda umeianzisha wewe na hii bodi ya mikopo unayoiongelea yenye process hyo ni ya kwako labda. siyo heslb kijana hapo juu aliyoiulizia.
 
Mwenye kujua zaidi jambo hili atueleweshe zaidi linatuhusu wengi tu
 
Kama ni suala la mkopo,unanunua vocha benki ambayo heslb wameichagua(mwaka jana ilikua ni NBC) Utalipia 30,000 baada ya kukangua vocha ndio unaenda kuapply online(website ya heslb),bila hiyo vocha fom ya mkopo haita respond,then una jaza some detail alaf una print.ndio masuala ya mahakama na attachment ya certificates,alaf mwisho unaituma kwa ems
 
Ili usipate shida andaa fedha isiyopungua 100,000/= mkopo na kuomba vyuo
 
Kumbe details zingine unajazia mlemle kwenye internate before printing!! ckujua hlo! mie nilijua magape yote ni kujaza kwa mkono!! danx kwa hlo.
 
Lipia kwa m-pesa sh 30000, hapo unarushiwa password, then nenda cafe yoyote fungua link ya online registration, utajaza password ambayo ulipewa via m-pesa, baada ya kujaza utaruhusiwa kudownload form. soma form vizuri utapa maelezo. thanks.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…