Kuhusu ustawi wa jamii

Kuhusu ustawi wa jamii

Mwachiluwi

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2022
Posts
25,258
Reaction score
48,589
Habari
Leo nataka kuongea kuhusu ustawi wa jamii hii ni taaluma ambayo imejikita katika kutatua changamoto na matatizo ya jamii Inafanya kazi na wazee watoto walemavu na wanawake lakini na jamii kwa ujumla


Watu wasichotambua kuhusu ustawi wa jamii

Watu wengi wanahisi ustawi wa jamii ni kwaajili ya wanawake kitu ambacho sicho sahihi wanaume pia wanahaki kwenda ustawi wa jamii kudai matuzo kama mwanamke alie zaa nae hatoi matuzo kea mtoto wake lakini pia kama anapata manyanyaso ya aina yoyote akiwa kwenye ndoa au uchumba

 
Habari
Leo nataka kuongea kuhusu ustawi wa jamii hii ni taaluma ambayo imejikita katika kutatua changamoto na matatizo ya jamii Inafanya kazi na wazee watoto walemavu na wanawake lakini na jamii kwa ujumla


Watu wasichotambua kuhusu ustawi wa jamii

Watu wengi wanahisi ustawi wa jamii ni kwaajili ya wanawake kitu ambacho sicho sahihi wanaume pia wanahaki kwenda ustawi wa jamii kudai matuzo kama mwanamke alie zaa nae hatoi matuzo kea mtoto wake lakini pia kama anapata manyanyaso ya aina yoyote akiwa kwenye ndoa au uchumba

unaijua bongo au unaisikia? ukitaka kujua huo ustawi wako ni wa wanawake kaangalie ratio ya gender ya waajiriwa katika idara hiyo kama hukuti kati ya wafanyakazi 10, wanawake 8 na wanaume wa-2 wa kuzugia.
 
unaijua bongo au unaisikia? ukitaka kujua huo ustawi wako ni wa wanawake kaangalie ratio ya gender ya waajiriwa katika idara hiyo kama hukuti kati ya wafanyakazi 10, wanawake 8 na wanaume wa-2 wa kuzugia.
Lakini haina maana kwamba wanaume hawasikilizwi pale wanapokuwa na tatizo linalo wahitaji maafisa ustawi
 
Lakini haina maana kwamba wanaume hawasikilizwi pale wanapokuwa na tatizo linalo wahitaji maafisa ustawi
nature ya jamii zetu ilikuwa mfumo dume, idara hizo ziliundwa tokea enzi hizo na lengo kuu hasa ni kumsaidia mwanamke hiyo ya wanaume iliwekwa ili kubalansisha mambo... unadhani wanaume wote wanaonyanyaswa kijinsia hawaendi kulalamika ni wajinga au hawana akili. kidume ukienda pale hutaambulia lolote zaidi ya kujidhalilisha tu labda kwa case itakayohusu unyanyasaji wa mtoto kidogo utasikilizwa napo watamkanya kwa upole sababu wanajua mama ndiye mlezi.
 
nature ya jamii zetu ilikuwa mfumo dume, idara hizo ziliundwa tokea enzi hizo na lengo kuu hasa ni kumsaidia mwanamke hiyo ya wanaume iliwekwa ili kubalansisha mambo... unadhani wanaume wote wanaonyanyaswa kijinsia hawaendi kulalamika ni wajinga au hawana akili. kidume ukienda pale hutaambulia lolote zaidi ya kujidhalilisha tu labda kwa case itakayohusu unyanyasaji wa mtoto kidogo utasikilizwa napo watamkanya kwa upole sababu wanajua mama ndiye mlezi.
Umesema vyema lakini haya nimatokea ya socialization and culture
 
Hivi kwenye hii taasisi kwa nini mwanamke anapewa nguvu sana na kuonyesha anaonewa wakati wote na inakuwaje vigumu kutoa hukumu iliyo sawa?.
 
Back
Top Bottom