kuhusu Utumishi

kuhusu Utumishi

Hajto

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2013
Posts
5,646
Reaction score
5,606
Habari zenu mabibi na mabwana,kuna kitu sijakielewa naombeni ushauri wenu,leo nimeingia kwenye ajira portol,kuna nafasi niliomba nimekuta nimeitwa kwenye saili,tarehe ya maelezo kwa kada zote inasema usaili ni tarehe 19,ila chini kabisa kwenye majina wameandika usaili wa kwanza ni tarehe 14 sasa sijaelewa hapa nibaki na lipi,naombeni ushauri wenu
 
wapigie simu yao wakupe maelekezo zaidi, kama upo dsm nenda ofisini kwao pale utumishi karibu na wizara ya ardhi au kama upo dodoma nenda ofisini kwao UDOM kule Asha Rose Migiro, ili wakupe maelekezo zaidi.
I wish you all the best ufaulu kwenye usaili,
 
Back
Top Bottom