Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Ktk hali ya kawaida, kwa wanasiasa wenye tamaa ya madaraka na uroho wa kutumia vibaya rasilimali za Wananchi sio rahisi mwanasiasa kusema bora tuache kwanza uchaguzi aliyepo aendelee ili apate muda wa kufanya maboresho tupate mifumo mizuri yenye Tija kwa Taifa.
Si jambo rahisi kwa mwanasiasa kuacha kwenda kwenye uchaguzi hata kama ni za kiini macho na akakubali kukosa fedha za Ruzuku.
Si jambo jepesi hata kidogo kuacha pride ya kugombea ubunge, udiwani na Urais ukatanguliza maslahi ya Taifa kwanza. Si jambo rahisi ndugu zangu
Wale walaghai wa kisiasa wao wanasema Twende hivyo hivyo, kwa sababu wao hawajali maslahi ya Taifa. Ni Buti Mbele kaza twende tukale maziwa na asali hata kama Kuna Utumwa.
Wasio wazalendo wanaona ni bora tuchaguane kimagumashi hivyo hivyo lakini tunywe mchuzi.
Wenye macho tunajua chaguzi za Tz hazina malengo wala maslahi kwa Wananchi wa hali ya chini.
Huu Ni Mwaka wa Kumjua Mzalendo kwa Vitendo na sio Bla bla za majukwaani.
We need New Tanzania, New Beginning.
Bonne Journée. À biontôt.
Si jambo rahisi kwa mwanasiasa kuacha kwenda kwenye uchaguzi hata kama ni za kiini macho na akakubali kukosa fedha za Ruzuku.
Si jambo jepesi hata kidogo kuacha pride ya kugombea ubunge, udiwani na Urais ukatanguliza maslahi ya Taifa kwanza. Si jambo rahisi ndugu zangu
Wale walaghai wa kisiasa wao wanasema Twende hivyo hivyo, kwa sababu wao hawajali maslahi ya Taifa. Ni Buti Mbele kaza twende tukale maziwa na asali hata kama Kuna Utumwa.
Wasio wazalendo wanaona ni bora tuchaguane kimagumashi hivyo hivyo lakini tunywe mchuzi.
Wenye macho tunajua chaguzi za Tz hazina malengo wala maslahi kwa Wananchi wa hali ya chini.
Huu Ni Mwaka wa Kumjua Mzalendo kwa Vitendo na sio Bla bla za majukwaani.
We need New Tanzania, New Beginning.
Bonne Journée. À biontôt.