Kuhusu vifurushi: TCRA, Ndugulile na Serikali mmetufanya Watanzania kama watoto wadogo

Kuhusu vifurushi: TCRA, Ndugulile na Serikali mmetufanya Watanzania kama watoto wadogo

Mtini

JF-Expert Member
Joined
Apr 28, 2011
Posts
1,492
Reaction score
2,361
Wanabodi mnakumbuka mwezi wa pili walipandisha bei za vifurushi, tukalalamika zipunguzwe wakatuahidi mwezi wa 4. Mwezi wa 4 vimepanda zaidi tumepiga kelele wameturudisha kwenye bei zilezile za mwezi wa pili tulizokuwa tunazipigia kelele, nasi bila kujua tunashangilia.

Kifupi Serikali imetufanyia mchezo wa kitoto bila sisi kujua.
 
Dawa ni kufungua kampuni yako mwenyewe ya vifurushi au kuacha kutumia line zao wapuuzi sana hawa.
 
DG wa TCRA tayari kashaliwa kichwa. Tuendelee kupiga maombi Mungu ni wetu sote.
 
Uwe unasoma mada/uzi vizuri kuliko kukurupuka kuandika kitu kisicho mkuu.
Sasa hizo bei za mwez wa pili c ni bora zaid y hizi walizopandishs juzi?acha kuwa kifutu,kama kwako wamerudisha zile za mwez wa pili unalalamika nini,au hujui ulichokiandika hapo?
 
Sasa hizo bei za mwez wa pili c ni bora zaid y hizi walizopandishs juzi?acha kuwa kifutu,kama kwako wamerudisha zile za mwez wa pili unalalamika nini,au hujui ulichokiandika hapo?
Wewe ndio hujui ulichoandika mleta anauliza kwanini serikali haijachukua hatua yoyote mpaka

Wewe unakurupuka kuandika kwako hako haukuna mabadiliko yoyote.
 
Zantel wamerudisha bando za awali tokea jana...
 
Wewe ndio hujui ulichoandika mleta anauliza kwanini serikali haijachukua hatua yoyote mpaka

Wewe unakurupuka kuandika kwako hako haukuna mabadiliko yoyote.
Sasa hujaelewa nn hapo,yy kasema wamerudia tena zile bei za mwez wa pili,ss kama kwake wamerudsh m bado sijaona mabadiliko hayo,hujui kusoma nn dogo?
 
Wanabodi mnakumbuka mwezi wa pili walipandisha bei za vifurushi, tukalalamika zipunguzwe wakatuahidi mwezi wa 4. Mwezi wa 4 vimepanda zaidi tumepiga kelele wameturudisha kwenye bei zilezile za mwezi wa pili tulizokuwa tunazipigia kelele, nasi bila kujua tunashangilia.

Kifupi Serikali imetufanyia mchezo wa kitoto bila sisi kujua.
VODA bado hawajarekebisha.
Bado vifurushi ni vile vya kinyonyaji vya ndugulile na kilaba
 
VODA bado hawajarekebisha.
Bado vifurushi ni vile vya kinyonyaji vya ndugulile na kilaba
Kumbe haya makampuni yanapopigwa faini kubwa na tcra tusiyaonee huruma
 
Back
Top Bottom