Kuhusu ving'amuzi vya bein sport

Wengi hawana mitaji,ila ukikuta mwenye mtaji kama Barmedaz Mwanza unakula raha mwanzo mwisho
 
Wengi hawana mitaji,ila ukikuta mwenye mtaji kama Barmedaz Mwanza unakula raha mwanzo mwisho
Barmedaz nao wana matatizo wale chenga nyingi kuna channels utazani wameweka maalumu kwa ajili ya chenga japo wana channels kibao
 
Barmedaz nao wana matatizo wale chenga nyingi kuna channels utazani wameweka maalumu kwa ajili ya chenga japo wana channels kibao
Bora wao sehemu zingine nilizowahi ishi ni hatari,unalipa 10000 ila channel chache kisha chenga
 
Yote sawa ila wako vizuri bei yao ni cheap sana kwa mwaka huwezi linganisha na king'amuzi chochote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…