kastizo zoo
Member
- Sep 12, 2012
- 51
- 2
Habari za humu ndan jaman,mi naulizia je ni utaratibu upi unatumika kwa wale ambao wamehairisha mwaka wa masomo chuo na wanataka kuingia chuo mwaka huu?Nahitaji msaada wenu kwa yoyote anayejua
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa unataka mchango mwingine upi tena? Acha tamaa bhana huridhiki?@kastizo zoo
Sasa unataka mchango mwingine upi tena? Acha tamaa bhana huridhiki?@kastizo zoo
mueleweshe vizuri kaka! siyo unan'gaka namna hiyo hatujengani!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!