Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akotia kwa uzoefu wangu hospitali ya Temeke pale wanafanya vipimo vya PCR, kuanzia asubuhi nadhani saa mbili mpaka saa nane mchana siku za kazi na majibu unapata siku ya pili baada ya kuchukuliwa kipimo tena baada ya saa tano mchana kwa SMS/ Email, gharama ni 1,15,000/- unaweza kulipia kwa kutumia wakala au mtandaoni.Ningependa kujua wapi naweza pata kupima pcr?majibu yanatoka kwa mda gani nikipima?na mwisho nataka kujua gharama zake?Nahitajika kujua kwa haraka ili niweze kusafiri kwenda Rwanda alhamisi.
asanteni sana
Duh shukran sana,kwahiyo leo nishachelewa?je lazima ufanye appointment kabla?Akotia kwa uzoefu wangu hospitali ya Temeke pale wanafanya vipimo vya PCR, kuanzia asubuhi nadhani saa mbili mpaka saa nane mchana siku za kazi na majibu unapata siku ya pili baada ya kuchukuliwa kipimo tena baada ya saa tano mchana kwa SMS/ Email, gharama ni 1,15,000/- unaweza kulipia kwa kutumia wakala au mtandaoni.
Kuna wajuzi hapa watakupa maelezo mengine ya ziada kutokana na mahala ulipo kama utapataja.
Hakuna Cha appointment ,,unaweza fanya appointment online ukiwa pale hospital.Duh shukran sana,kwahiyo leo nishachelewa?je lazima ufanye appointment kabla?
Hospital zote za serikali za wilaya zinapima PCR test..Nami ningependa kujua kama zipo sehemu zinazopima PCR na kutoa majibu siku hiyo hiyo…
Tafadhalini sana [emoji120]
Zinapima na kutoa majibu siku hiyo hiyo?Hospital zote za serikali za wilaya zinapima PCR test..
Uko Dar sehemu gani?nauliza jamani
Mloganzila unapata. Maana wanachukua sample na kupima hapo hapo ukiwa na hela ya chai unaondoka na majibu yako.Nami ningependa kujua kama zipo sehemu zinazopima PCR na kutoa majibu siku hiyo hiyo…
Tafadhalini sana [emoji120]
Zinapima na kutoa majibu siku hiyo hiyo?
Ok.Siku inayofuata...
Kawaida ni masaa 24 unapata majibu.. online.Zinapima na kutoa majibu siku hiyo hiyo?
Ukitaka kupima Covid19 ni lazima kwanza uingie huu ukurasa:Ningependa kujua wapi naweza pata kupima pcr?majibu yanatoka kwa mda gani nikipima?na mwisho nataka kujua gharama zake?Nahitajika kujua kwa haraka ili niweze kusafiri kwenda Rwanda alhamisi.
asanteni sana
Ok.
Ila maabara zote hapa mjini Dar hakuna hata moja inayofanya rapid PCR testing!!!
Bado sana.
Sina uhakika kama Agha Khan sasa wanafanya wao. Inabidi kujua kama kuna sehemu wanafanya wao Direct. Hata Muhimbili wanafanyia Lab ya Taifa. Nimefanya wiki mbili zilizopita na majibu yalitoka saa tano asubuhi siku iliyofuata.Ok.
Ila maabara zote hapa mjini Dar hakuna hata moja inayofanya rapid PCR testing!!!
Bado sana.
Hapana, sample zinapimiwa pale zilipochukuliwa kwa hospitali kubwa kubwa kama Amana, Muhimbili, Mloganzila n.kSina uhakika...
Kwa sasa ni kama wanalizimishwa samples zote ziende maabara kuu ya Taifa...(itakuwa ni kwa sababu za kitakwimu na kucontrol maambukizi au sababu nyingine wazijuazo wao serikali)
Sina uhakika kama Agha Khan sasa wanafanya wao. Inabidi kujua kama kuna sehemu wanafanya wao Direct. Hata Muhimbili wanafanyia Lab ya Taifa. Nimefanya wiki mbili zilizopita na majibu yalitoka saa tano asubuhi siku iliyofuata.