Kuhusu wapi naweza kupima kipimo cha PCR jijini Dar?

Ningependa kujua wapi naweza pata kupima pcr?majibu yanatoka kwa mda gani nikipima?na mwisho nataka kujua gharama zake?Nahitajika kujua kwa haraka ili niweze kusafiri kwenda Rwanda alhamisi.

asanteni sana

bugando
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…