Kaka kwani unakimbizwa wapi?Huyu dada ana shida, Watanzania huyu dada anaumwa anahitaji msaada. Nimemuona Clouds tv akijieleza kwa uchungu!
Tuweke mzaha, masihara pembeni tumsaidie atibiwe.
Kiukweli ukitazama akiongea utaguswa mno! Akifa hatujafanya kitu sijui tutasema nini. Wengi wana shida lakini kama watu maarufu yanawakuta haya sisi wengine itakuwaje?
Nimeona namba halali aliyoitaja kwenye tv kumsaidia ni 0768666113.
Tumsaidie jamani! Hata kama una buku!
anahitaji msaada.
Ccm mbele kwa mbeleeee.ana nyumba mbili,magari sijui matatu,auze kimoja aache ujinga bana,wenye shida wengi,mguu aliutonesha akikata mauno kwenye ile nyimbo ya masimango kwa watanzania ya TOT
Kuna watu wanavituko humu jf!ana nyumba mbili,magari sijui matatu,auze kimoja aache ujinga bana,wenye shida wengi,mguu aliutonesha akikata mauno kwenye ile nyimbo ya masimango kwa watanzania ya TOT
Umenena kweli mkuu,Kuna yatima na walemavu tunaishi nao hawajawahi ku pata support ya aina yoyote kwa jamii katika maisha yao na hawajulikani na mwanasiasa yoyote wa nchi hii tena hawajui hata namna ya kwenda kujitangaza na kuomba msaada kwenye TV.. any way.. KUPANGA NI KUCHAGUA..