Kuhusu Wastara, Hapana TUMSAIDIE!

Kuhusu Wastara, Hapana TUMSAIDIE!

CCM INA WENYEWE....
NA HII NI LAANA KWA WOTE WALIOINGIZA HII NUKSI MADARAKANI....

KOMBA KAISOMA NAMBA
BONGO MOVIE NDO INAKUFA HVYO
DIAMOND KABAKIA MATUKIO TU MUZIKI MBOVU
STIVE NYERERE NDO ANASEPA HVYO
CHID BENZ NA YEYE NDO BASI TENA
WEMA SEPETU NA YEYE AMEBAKI KUGAWA PAPA TU
CLOUDS NA WAO WAMEISOMA NAMBA FINE FINE TU DAILY

N.B
Kuna wenye uhitaji kuliko yeye
Noma sana!
 
ina maana utu umeisha sasaivi-ina maana siasa mchwara izi tumezibeba mpaka kwenye nyoyo zetu!? je haya ndo maendelea tunayo ya pigania! nazungumzia kote kote alipo kua mwanachama na huku kuliko ndungu zake! waafrika kuendelea mwikoo kwani hata hizi siasa ni drama tupu kama hatutabadilisha fikra zenye kujenga-je ina maana kiongozi wa upinzani awezi kusaidia mtu alie mrengo wa kulia?!chuki hizi waafrika mpaka wapi?kila siku tuna sema siasa za chuki azi jengi!!! kumbukeni hata hio demokrasia tunayo ipigania bila kuondoa chuki ni kazi buree
 
Huyu Mwanamke kazidi.

Kila tatizo lake lazima liwe la Nchi.

Wakati anakula raha na mabwana zake huko kila siku hatuhusishwi,tunasikia watu wanataka kumuoa kila siku.

Hao mabwana wamtoe sasa!

Halafu anapenda sana huruma huyu kicheche!

Katika level za kitanzania ana maisha mazuri asituzuge hapa.Tanzania hii kuna watu hawana hata mlo,huyu kicheche hadi magazetini wanamtoa.

She is fake,na tatizo lake ni la kawaida,lipo exaggerated sana sababu tu ana umaarufu na access na vyombo vya habari.

Kuliko nitoe hivi vimadafu vyangu,aisee nitaenda kijijini kwangu kuna ndugu kibao hawana chochote,heri nikasaidie.

Huyu ni artist tu,kama Steven Nyerere.Wote shuwaini tu.
 
ana nyumba mbili,magari sijui matatu,auze kimoja aache ujinga bana,wenye shida wengi,mguu aliutonesha akikata mauno kwenye ile nyimbo ya masimango kwa watanzania ya TOT
Tuache utani,katika hit song marehemu komba,ile ngoma alijitahidi sana.
 
Hatupaswi kuwahukumu binadam wenzetu kwa yale waliyoyafanya,kama kuna m2 anaweza kujitolea angalao hata Tsh 100/= basi afanye hivyo...,pia nawakumbusha hawa ndugu zetu wa Bongo movie na Bongo flavour;walituingiza utumwani kwa kutumia vipaji vyao huku wakiamini kuwa sisi the common p'ple ndyo tutakaoisoma number...kumbe hawakujua kuwa wanakata tawi tulilokalia wote,kilichopo hivi sasa ni kuwa kila Mtanzania analia,hana amani moyoni mwake,hakuna ajira,hakuna kupanda madaraja,watu wanafukuzwa makazini,watu wanauawa bila sababu
Ninapoyaandka yote haya nafsi inaniuma sana kwa yale waliyoyafanya hawa mabongo movies na bongo flavour,lkn yote kwa yote tumsaidie ndugu yetu!
 
CCM INA WENYEWE....
NA HII NI LAANA KWA WOTE WALIOINGIZA HII NUKSI MADARAKANI....

KOMBA KAISOMA NAMBA
BONGO MOVIE NDO INAKUFA HVYO
DIAMOND KABAKIA MATUKIO TU MUZIKI MBOVU
STIVE NYERERE NDO ANASEPA HVYO
CHID BENZ NA YEYE NDO BASI TENA
WEMA SEPETU NA YEYE AMEBAKI KUGAWA PAPA TU
CLOUDS NA WAO WAMEISOMA NAMBA FINE FINE TU DAILY

N.B
Kuna wenye uhitaji kuliko yeye
Bila shaka utakuwa una kipande cha gogo mata.k.on I mwako.
Acheni roho mbaya !
 
Mimi sina chama chochote ila nimeshajiapiza tangu Nina miaka 10 sitakuja kutoa msaada wa aina yoyote kwa mwanachama wa chama cha maelezo kwa kifupi (CCM).

Mungu nisaidie
Omba yasokukute
 
Kama ccm yake imeshindwa kumsaidia apambane na hali yake.

Asinywe sumu wala asijinyonge ccm mbele kwa mbele ikinunua madiwani na wabunge kwa hela za walipakodi.
Hujafa hujaunbika,Omba yasikukute
CCM oyeeeee. auze kadi yake kwa Lipumba halafu Lipumba aende magogoni abadilishe na ngawira. Diri tayari. Kuna watu wanashida wanakufa bila msaada, wewe unaongelea mtu ambaye ana kila kitu? Nenda vijijini uone watu wanavyoteseka na ndo hao baada ya miaka mitano wanavaa khanga na tshirts zile zile na hata majumbani ukiwatembelea kuta zina mapambo yale yale.

Walizunguka nchi nzima wakisimanga watu, kumcheka mzee wa watu. Si aende kwa wapiga pushap mafuko ya pesa wameshikilia tena hawataki wengine wawe nayo. Aamue kujitibia aache kulialia
Najua akitembeza bakuli pale lumumba kwa wajomba zake watampandisha ndege leoleo.

Siasa siyo wizi na uhasama kama wafanyavyo, siyo kurubuni, ndiyo hatujaelewa kabisa siasa mko tayari kuua walio na mawazo mbadala kwa maendeleo ya Taifa. Na hawa ndiyo hao wawapigiao debe kwa ushawishi wao wa ustaa mpk wanajitonesha.

Namba hiyo tunaisoma wote mshauri siku hizi pesa mtaani hakuna aende kwa msemaji wa wazee atamsaidia.

Mimi siwezi kuchanga hata 100

Ahamie CHADEMA halafu aikosoe sana serikali na ikiwezekana atafute kata ya kugombea udiwani naamini hapo ccm watakuja na fedha za manunuzi. Sorry Dada Wastara mbelembele hadi kusikojulikana. Tuna fedha za kununua wanachadema na si vinginevyo.
 
ana nyumba mbili,magari sijui matatu,auze kimoja aache ujinga bana,wenye shida wengi,mguu aliutonesha akikata mauno kwenye ile nyimbo ya masimango kwa watanzania ya TOT
Na kuna kipindi alijinani ana car wash
 
CCM INA WENYEWE....
NA HII NI LAANA KWA WOTE WALIOINGIZA HII NUKSI MADARAKANI....

KOMBA KAISOMA NAMBA
BONGO MOVIE NDO INAKUFA HVYO
DIAMOND KABAKIA MATUKIO TU MUZIKI MBOVU
STIVE NYERERE NDO ANASEPA HVYO
CHID BENZ NA YEYE NDO BASI TENA
WEMA SEPETU NA YEYE AMEBAKI KUGAWA PAPA TU
CLOUDS NA WAO WAMEISOMA NAMBA FINE FINE TU DAILY

N.B
Kuna wenye uhitaji kuliko yeye



Mshua ume-hit the nerve sawia!

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Huyu Mwanamke kazidi.

Kila tatizo lake lazima liwe la Nchi.

Wakati anakula raha na mabwana zake huko kila siku hatuhusishwi,tunasikia watu wanataka kumuoa kila siku.

Hao mabwana wamtoe sasa!

Halafu anapenda sana huruma huyu kicheche!

Katika level za kitanzania ana maisha mazuri asituzuge hapa.Tanzania hii kuna watu hawana hata mlo,huyu kicheche hadi magazetini wanamtoa.

She is fake,na tatizo lake ni la kawaida,lipo exaggerated sana sababu tu ana umaarufu na access na vyombo vya habari.

Kuliko nitoe hivi vimadafu vyangu,aisee nitaenda kijijini kwangu kuna ndugu kibao hawana chochote,heri nikasaidie.

Huyu ni artist tu,kama Steven Nyerere.Wote shuwaini tu.
Wa.pu.mba.vu ndio watatoa hela kumchangia. Tatizo lake pale MOI ni jepesi sana. Sema ndio vile anatafuta mtaji na hela ya kulia bata. Watu kila siku wanakatwa miguu moi wanatulia majumbani wanapona. Yeye anatumia mgongo wa India ili achangiwe pesa nyingi. Nimeshudia mtu kafanyiwa upasuaji uti wa mgongo MOI alilala mwaka mzima ila sasa hivi anatembea vizuri. Ugonjwa ni kufuata masharti ya Dr ndio utapona.
 
Back
Top Bottom