Kuhusu website ya Chama Cha Mapinduzi

Kuhusu website ya Chama Cha Mapinduzi

Ng'wanza Madaso

JF-Expert Member
Joined
Oct 21, 2008
Posts
2,268
Reaction score
335
Bado inaonyesha viongozi wa miaka iliyopita lakini tarehe ni ya leo 07/11/2009. Najua baadhi ya viongozi wapo humu ndani badilisheni kwani mnazo fedha za kutosha kuajiri vijana waliomaliza IT kusimamia na ku update website yenu mnatia aibu kwani mnamnyima haki yake Mwenyekiti wa CCM Mh J.M.Kikwete

VIONGOZI WA CCM
MWENYEKITI WA CCM
Rais Benjamin William Mkapa​
shim.gif
MAKAMU MWENYEKITI WA CCM
(Bara)
Mzee: John Samwel Malecela​
shim.gif
shim.gif
shim.gif
MAKAMU MWENYEKITI WA CCM
(Zanzibar)
Abeid Aman Karume​
shim.gif
KATIBU MKUU WA CCM
Ndugu Philip Mangula​

 
Bado inaonyesha viongozi wa miaka iliyopita lakini tarehe ni ya leo 07/11/2009. Najua baadhi ya viongozi wapo humu ndani badilisheni kwani mnazo fedha za kutosha kuajiri vijana waliomaliza IT kusimamia na ku update website yenu mnatia aibu kwani mnamnyima haki yake Mwenyekiti wa CCM Mh J.M.Kikwete

VIONGOZI WA CCM
MWENYEKITI WA CCM
Rais Benjamin William Mkapa​

shim.gif
MAKAMU MWENYEKITI WA CCM

(Bara)
Mzee: John Samwel Malecela​

shim.gif
shim.gif
shim.gif
MAKAMU MWENYEKITI WA CCM

(Zanzibar)
Abeid Aman Karume​

shim.gif
KATIBU MKUU WA CCM

Ndugu Philip Mangula​


Puuuuuhh!......mhhh!.....fyuuuuuuuuut!
 
Back
Top Bottom