KUHUSU WIMBO WETU WA TAIFA.

KUHUSU WIMBO WETU WA TAIFA.

ShyaRuwa

JF-Expert Member
Joined
May 30, 2015
Posts
7,895
Reaction score
13,643
Tangu 1961 tumekuwa tukisikiliza audio ya wimbo wa taifa pekee, sasa nauliza video yake inatoka lini?....Tafadhali mwenye namba ya GodFather production anitumie nimpe kazi.
 
kweli mkuu singo imetoka '61 remix '64 kichupa mpaka '16 bado!
 
Ninakupa kazi moja,...Tafuta video queen mzuri tufanye yetu.
kichupa kitakuwa cha og Mungu ibariki Tanganyika au remix Mungu ibariki Tanzania?

v. queen kesho nakutupia picha.
 
Tangu 1961 tumekuwa tukisikiliza audio ya wimbo wa taifa pekee, sasa nauliza video yake inatoka lini?....Tafadhali mwenye namba ya GodFather production anitumie nimpe kazi.
[emoji37] [emoji37] [emoji37] [emoji37] [emoji37]
 
kichupa kitakuwa cha og Mungu ibariki Tanganyika au remix Mungu ibariki Tanzania?

v. queen kesho nakutupia picha.
Tukisema Tanganyika VQ ingebidi wawe kina Bi.... ila tukisema ibariki TZ tutapata VQ vitoto vya kisasa...tuweke TZ.
 
Back
Top Bottom