Pre GE2025 Kuhusu wizi wa kura, Godbless Lema aipa onyo hili CCM kuelekea kwenye Uchaguzi mkuu 2025

Pre GE2025 Kuhusu wizi wa kura, Godbless Lema aipa onyo hili CCM kuelekea kwenye Uchaguzi mkuu 2025

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Mindyou

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2024
Posts
1,869
Reaction score
4,877
Wakuu,

Akiwa anaongea kwenye kipindi cha Power Breakfast, Lema amewapa onyo hili CCM.

Lema amesema kuwa tabia ya CCM kupora na kuiba uchaguzi ni hatari kwa nchi kwani husababisha wananchi kuacha kuamini kwenye sanduku la kura.

Lema amesema kuwa wananchi wanapoacha kuamini kwenye mifumo ya uchaguzi huanza kutumia mbinu nyingine kupata haki yao kuchagua viongozi jambo ambalo huenda likapelekea vita ya wenyewe kwa wenyewe ndani ya nchi


 
Kwa hiyo sera ya CCM ni kugawa hovyo rasirimali za nchi! maana hiyo ndio wanatekeleza Kwa ufanisi
Sera ya ccm ukiitwa kwenye maandamano ujitokeze sio ujifanye vidole virefu kuchakaza keyboard kwenye kura na maandamano unashikwa na uharo paraaaaaaaaa pa pa paa na mashuzi unamuacha lissu peke yake!
 
Leo Lema ameongea kwa utulivu sana hadi waandishi wanamwambia kuwa mbona leo anachagua sana maneno ya kuongea😅
Si kila mwanasheria ni wakili.
Si kila fundi ni mhandisi.
Si kila tabibu ni daktari.
Si kila mfundishaji ni mwalimu.
Si kila mtangazaji ni mwandishi wa habari.

Hao waandishi ni nani na nani!!??
 
Ujinga andaeni sera kila siku kulia hawa wanao jifanya kusapoti mitandaoni kwenye maandamano ya ukweli wanajificha na kura hawapigi!
CHADEMA Ina Sera , CCM Ina wingi wa sare, t-shirt,kofia na vitenge 🤣🤣🤣🤣

Kipara bila akili ni sawa na TAKO 🤣🤣🚴🚴
 
Wakuu,

Akiwa anaongea kwenye kipindi cha Power Breakfast, Lema amewapa onyo hili CCM.

Lema amesema kuwa tabia ya CCM kupora na kuiba uchaguzi ni hatari kwa nchi kwani husababisha wananchi kuacha kuamini kwenye sanduku la kura.

Lema amesema kuwa wananchi wanapoacha kuamini kwenye mifumo ya uchaguzi huanza kutumia mbinu nyingine kupata haki yao kuchagua viongozi jambo ambalo huenda likapelekea vita ya wenyewe kwa wenyewe ndani ya nchi


View attachment 3210773
Lema yupo sahihi na hajawahi kukosea kwenye unabii wake. Alitabiri Magufuli atakufa, akafa kweli. Alitabiri Tundu Antipas atashinda, ameshinda kweli. Lema ni na nabii wa kweli kushinda hawa manabii wa mchongo wanaotudanganya kila siku kwa miujiza ya kupika. Ubarikiwe sana nabii Lema. Mungu aendelee kukutumia kutufunulia maono mbalimbali ktk nchi hii.
 
Wakuu,

Akiwa anaongea kwenye kipindi cha Power Breakfast, Lema amewapa onyo hili CCM.

Lema amesema kuwa tabia ya CCM kupora na kuiba uchaguzi ni hatari kwa nchi kwani husababisha wananchi kuacha kuamini kwenye sanduku la kura.

Lema amesema kuwa wananchi wanapoacha kuamini kwenye mifumo ya uchaguzi huanza kutumia mbinu nyingine kupata haki yao kuchagua viongozi jambo ambalo huenda likapelekea vita ya wenyewe kwa wenyewe ndani ya nchi


View attachment 3210773
atafanya nni? huko nyuma alishindwa wapi? takataka
 
atafanya nni? huko nyuma alishindwa wapi? takataka
Mkuu unaumia ukiwa wapi? Kisa Mtemi/Sultan Mbowe kushindwa? Mbona kwenye michezo ya kisiasa tunategemea matokeo mawili tu, kushinda na kushindwa. Mbowe kashindwa kwa Moyo wa dhati kabisa kakubali na kumpongeza mshindani qake
 
Back
Top Bottom