Pre GE2025 Kuhusu wizi wa kura, Godbless Lema aipa onyo hili CCM kuelekea kwenye Uchaguzi mkuu 2025

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Uzuri viongozi wa CCM walishakiri kuiba kura
Yaani saa hzi ndo watakuwa wamechanganyikiwa kuwaza wanaanzaje kupambana na Lissu alivyo Mbishi na mtata!, tutegemee miradi kudorora ili pesa zake kuchepusha kwa ajili ya 2025 mwaka wa Imbombo Ngafu!
 
Sahihi kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…