Cytochrome p450
JF-Expert Member
- Mar 19, 2019
- 5,638
- 15,044
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]ANAITWA LYAGAMBA LYAMFIPA MFAGULENAMBE ANATOKEA KULE SUMBAWANGA
Msaidizi wa nini?Huyo sio bodyguard ni msaidizi wa rais jina simjui subiri wanaomjua.
Bodyguard ni huyo alievalia suti wapo na wengine wengi..
Mbeba mafaili...
ConfusingANAITWA LYAGAMBA LYAMFIPA MFAGULENAMBE ANATOKEA KULE SUMBAWANGA
Kubeba bahasha au mzigo wa rais.. kumsogezea kiti rais na kazi nyengine nyengine chache chache..
Sumbawanga[emoji848]ANAITWA LYAGAMBA LYAMFIPA MFAGULENAMBE ANATOKEA KULE SUMBAWANGA
Kanali ...... naomba niishie hapoHivi huyu mdau anaitwa nani?
Maana nimemuona kitambo kidogo..
Tushazoea kujua majina ya mabodigadi wa akina Diamond na Young Killer.
Em tusaidiane kumjua huyu mdau.
View attachment 1457399View attachment 1457400
Sent using Jamii Forums mobile app
Ahaa[emoji23] naona muda mwengine anakuwa anaangalia angalia watu kama kuchunguza wale wenye nia mbaya.. Ili yasije yakatokea kama yale ya Mwinyi naona!!Kubeba bahasha au mzigo wa rais.. kumsogezea kiti rais na kazi nyengine nyengine chache chache..
Mabodyguard hawafanyi hizo kazi wao ni ulinzi tu hata akipewa mzigo hakai nao anapasisha kwa wengine..
Ulitaka rais akipewa hata ua then aanze kuita we nanii njoo hapa unihifazie hili ua[emoji28][emoji23]
Ye akipewa kitu anampa msaidizi wake ye atajua anampa nani huko..
Hawa wanaowasindikizaga kina Diamond ni mabaunsa,si mabodyguard,bodyguard ni taaluma kama taaluma nyingine.Hivi huyu mdau anaitwa nani?
Maana nimemuona kitambo kidogo..
Tushazoea kujua majina ya mabodigadi wa akina Diamond na Young Killer.
Em tusaidiane kumjua huyu mdau.
View attachment 1457399View attachment 1457400
Sent using Jamii Forums mobile app