Mabibi na mabwana heshima kwenu.
Kuaminika kwa mamlaka zote zinazohusika kwenye mchakato huu wa uchaguzi ilikuwa jambo la muhimu sana kwa amani yetu. Yote ni tisa, kumi ni kuaminika kwa tume ya uchaguzi ambayo haswa ndiyo yenye hii shughuli.
Ilikuwa ni jukumu la tume kuwahakikishia wadau wote kuwa inaaminika na kwamba haipendelei upande wowote katika kipindi chote cha huu mchakato.
Maonyo kwa washiriki na hata adhabu kuwa zinawahusu upande fulani tu kwa tunayoyashuhudia sote kwenye kampeni hizi kunaitia tume doa lisilopaswa kuachwa kama lilivyo.
Kwamba hata kuwa kuna tashwishi na malalamiko kuhusiana na integrity ya kura zenyewe kwenye mchakato wote hadi kutangazwa kwa matokeo? Inamaanisha hatua zilizopo hazijitoshelezi.
Yapo mengi ambayo kuyaacha hivi hivi ni kukaribisha matatizo yasiyokuwa ya ulazima hata kidogo.
Tujenge imani ya kutosha kuwa ni wapiga kura pekee ndiyo watakaoamua hatima ya uongozi hapa nchini come Oct 28.
Anasema Odinga "ati, hiyo ndiyo demokrasia."
Kuaminika kwa mamlaka zote zinazohusika kwenye mchakato huu wa uchaguzi ilikuwa jambo la muhimu sana kwa amani yetu. Yote ni tisa, kumi ni kuaminika kwa tume ya uchaguzi ambayo haswa ndiyo yenye hii shughuli.
Ilikuwa ni jukumu la tume kuwahakikishia wadau wote kuwa inaaminika na kwamba haipendelei upande wowote katika kipindi chote cha huu mchakato.
Maonyo kwa washiriki na hata adhabu kuwa zinawahusu upande fulani tu kwa tunayoyashuhudia sote kwenye kampeni hizi kunaitia tume doa lisilopaswa kuachwa kama lilivyo.
Kwamba hata kuwa kuna tashwishi na malalamiko kuhusiana na integrity ya kura zenyewe kwenye mchakato wote hadi kutangazwa kwa matokeo? Inamaanisha hatua zilizopo hazijitoshelezi.
Yapo mengi ambayo kuyaacha hivi hivi ni kukaribisha matatizo yasiyokuwa ya ulazima hata kidogo.
Tujenge imani ya kutosha kuwa ni wapiga kura pekee ndiyo watakaoamua hatima ya uongozi hapa nchini come Oct 28.
Anasema Odinga "ati, hiyo ndiyo demokrasia."