Kuibiwa kusikie tu

Binafsi kwangu wamefanya majaribio ya kuvunja Kwa na Jana ni awamu ya nne wamefanikiwa kuiba nimeamua maamuzi magumu albadiri nitaisoma ili tuheshimiane
 
Kazini kuna kazi, KWENYE biashara kuna biashara ila mtaani kuna kazi zaidi yaani nyingi Ajira hakuna
 
Heri ya mwaka mpya mtani wangu
Nikiona I'd yako nasikia raha japo ninaumia kuona simba wanatoboa ligi ya mabingwa na ligi kuu πŸ˜”πŸ˜”πŸ˜”

Anyway usiku mwema mtani πŸ€—β€οΈ
Jamani usiumie mtani...mambo ya kawaida kila jambo lina wakati wake....nasikia raha pia nikikuona jukwaani... 😊 😊 😊
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…