Alikupiga kwa dizaini gani mkuu, tunaweza labda kujifunza kitu..Pole mkuu umenikumbusha nilivyopigwa na tapeli wa jf kipindi najiunga humu niliumia mana sikutegemea jambo lile
Nipo sana mtu wangu usinisahau.Nishagasahau kama upo humu
πππππNipo sana mtu wangu usinisahau.
Umri umeenda sana ndio maanaπ
Dooh usitake kunambia ww ni wa kule gusa achiaWewe ngoja siku simba ikifungwa tu lazima nikutafute
Jamani usiumie mtani...mambo ya kawaida kila jambo lina wakati wake....nasikia raha pia nikikuona jukwaani... π π πHeri ya mwaka mpya mtani wangu
Nikiona I'd yako nasikia raha japo ninaumia kuona simba wanatoboa ligi ya mabingwa na ligi kuu πππ
Anyway usiku mwema mtani π€β€οΈ
Mi ni wa Liverpool best na uku tz sipo popoteDooh usitake kunambia ww ni wa kule gusa achia
pole sana,Jana hiyo hiyo nimepigwa 488000 kupitia simuSiku ya jana niliibiwa pesa ndani ya daladala kiasi cha 350000 yani usiku mzima nimekosa usingizi. Hapa nilipo kichwa kinauma hatari ππ
Duh pole sana mkuupole sana,Jana hiyo hiyo nimepigwa 488000 kupitia simu