Mamsosa
JF-Expert Member
- Sep 3, 2024
- 1,047
- 2,246
Hongera mkuuSiku ya jana niliibiwa pesa ndani ya daladala kiasi cha 350000 yani usiku mzima nimekosa usingizi. Hapa nilipo kichwa kinauma hatari ðŸ˜ðŸ˜
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hongera mkuuSiku ya jana niliibiwa pesa ndani ya daladala kiasi cha 350000 yani usiku mzima nimekosa usingizi. Hapa nilipo kichwa kinauma hatari ðŸ˜ðŸ˜
Pole mkuu, nilipigwa 1.2 (pesa mingi) mwaka 98 za boss ilikua nimpe mchana.
kijinga tu na vibaka hapo migo kanisani sa 11 asubuhi sitasahau.
Swali najiuliza mpk leo kwanini sikuchukua taxi.
Ila niliwapata wote na tuliwafanya kitu mbaya hela sikui
pata
Uliwafanyaje mkuuPole mkuu, nilipigwa 1.2 (pesa mingi) mwaka 98 za boss ilikua nimpe mchana.
kijinga tu na vibaka hapo migo kanisani sa 11 asubuhi sitasahau.
Swali najiuliza mpk leo kwanini sikuchukua taxi.
Ila niliwapata wote na tuliwafanya kitu mbaya hela sikuipata.
Nashukuru mkuuHongera mkuu
Haya na wewe weka namba tukuchangie mkuu kupunguza machungu ya 98, 1.2 million kwenye million 500 sio kitu weeka namba yako ya muamalaPole mkuu, nilipigwa 1.2 (pesa mingi) mwaka 98 za boss ilikua nimpe mchana.
kijinga tu na vibaka hapo migo kanisani sa 11 asubuhi sitasahau.
Swali najiuliza mpk leo kwanini sikuchukua taxi.
Ila niliwapata wote na tuliwafanya kitu mbaya hela sikuipata.
Weka namba nikuingize hio 350 au huamini?Nashukuru mkuu
Hapana mkuu? Sihitaji mchango.weka namba nikujazie bando japo uwepo live Jf.Haya na wewe weka namba tukuchangie mkuu kupunguza machungu ya 98, 1.2 million kwenye million 500 sio kitu weeka namba yako ya muamala
Kaka sikujua yatayotokea na tunajifunza kutokana na makosaPole ila umezingua kubeba hela wakati huu .... Mimi mfukoni au wallet hukuti zaidi ya elfu 30.
Pamoja kakaSawa sawa mkuu nimeona
Mkuu maelezo yasiwe mengi ushaelewekaHapana mkuu? Sihitaji mchango.weka namba nikujazie bando japo uwepo live Jf.
Kuna hadithi pale makanya kaulize.Uliwafanyaje mkuu
Asante sana mkuuPole mkuu umenikumbusha nilivyopigwa na tapeli wa jf kipindi najiunga humu niliumia mana sikutegemea jambo lile
Ata uko makanya sina nguvu za kwenda mzeeKuna hadithi pale makanya kaulize.
Pole sana. Laki 3.5 parefu, maumivu moyoni lazima yawepo ila mshukuru Mungu kwa uzima, amini utapata hela tu katika namna usiyoijua na utavuka.Yani nimetoka Bank kuchukua kamshahara kenyewe kadogo na nimepigwa ðŸ˜ðŸ˜ðŸ˜
Si usemeKuna hadithi pale makanya kaulize.
Miaka mingi imepita, ndugu zao wanajua na wapo pale kwenye nyumba za ulisi.Si useme
Asante sana mkuuPole sana. Laki 3.5 parefu, maumivu moyoni lazima yawepo ila mshukuru Mungu kwa uzima, amini utapata hela tu katika namna usiyoijua na utavuka.
Asante sana kaka na nimejifunza pakubwa mkuuPole sana ila jaribu kua makini na watu hasa unapokua na pesa taslimu,
Hao wezi inaonekana wamekufuatilia tokea unatoka Benki,kwanini unatembea na cash kubwa hivyo kwa Dunia ya leo? Kwanini hukuchukua japo Uber kwa usalama zaidi?
Pole sana ila angalia kosa lako ni lipi mpaka ikapelekea kuibiwa ili usije ukarudia tena kosa hilo hilo siku nyingine,
Nakukumbusha tu Mkuu,uwe unatoa sadaka,japo kuwasaidia wahitaji humo Barabarani.