Apta Kayla
JF-Expert Member
- Nov 18, 2010
- 324
- 73
Ameibuka mama anaetoa tiba ya kikombe huko Tabora kwa gharama ya TSH 500, ni muumini wa kikristo {haikutajwa kanisa gani} anatoa maombi kabla ya kikombe. Watu wengi wameonekana kwenye foleni wakisubiri tiba. Source ITV Hapa na Pale leo.
Je, hii inaashiria nini? WaTZ wengi tuna magonjwa sugu yaliyoshindikana hosptalini?, Wa TZ tumepoteza imani na tiba za Hospitali zetu, au .....?
Ameibuka mama anaetoa tiba ya kikombe huko Tabora kwa gharama ya TSH 500, ni muumini wa kikristo {haikutajwa kanisa gani} anatoa maombi kabla ya kikombe. Watu wengi wameonekana kwenye foleni wakisubiri tiba. Source ITV Hapa na Pale leo.
Je, hii inaashiria nini? WaTZ wengi tuna magonjwa sugu yaliyoshindikana hosptalini?, Wa TZ tumepoteza imani na tiba za Hospitali zetu, au .....?
Duh, jamani kuna mwanamke tabora naye anatoa tiba kwa mtindo wa babu wa loliondo kwa chaji ile ile ya sh. 500 na watu kibao wanakunywa.
Source: Itv
Nimeona pia ITV taarifa ya saa 2 - huyo mama kawachanganya viongozi wa serikali huko na pia viongozi wake wa dini
Nadhani hizi ni dalili za ukomo wa maisha ya Dunia!