Kuibuka kwa 'BIBI' Tabora kunaashiria nini?

Kuibuka kwa 'BIBI' Tabora kunaashiria nini?

Hawa nao wanataka kutuponea!! yaani kila mmoja anaibuka na kikombe? Na hivi Mi-TZ tumeonekana mizoba acha waibuke kila siku na huko mijtu itamwagika mpaka tushangae nyie subirini mwone!!
 
Ameibuka mama anaetoa tiba ya kikombe huko Tabora kwa gharama ya TSH 500, ni muumini wa kikristo {haikutajwa kanisa gani} anatoa maombi kabla ya kikombe. Watu wengi wameonekana kwenye foleni wakisubiri tiba. Source ITV Hapa na Pale leo.
Je, hii inaashiria nini? WaTZ wengi tuna magonjwa sugu yaliyoshindikana hosptalini?, Wa TZ tumepoteza imani na tiba za Hospitali zetu, au .....?
Nimeiona ni mkatoliki, na ana foleni ndefu ya wagonjwa!
 
Njaa zimejaa makanisani. Ndo maana kuna utitiri wa makanisa ambayo ndani hakuna waumini. Lengo kuganga njaa. Matokeo ni :-DECI, WANAOJIDAI KUPONYA, BABU LOLIONDo, BIBI WA TABORA, WA ROMBO, MBEYA. Yote matunda ya utapeli makanisani.
 
Ameibuka mama anaetoa tiba ya kikombe huko Tabora kwa gharama ya TSH 500, ni muumini wa kikristo {haikutajwa kanisa gani} anatoa maombi kabla ya kikombe. Watu wengi wameonekana kwenye foleni wakisubiri tiba. Source ITV Hapa na Pale leo.
Je, hii inaashiria nini? WaTZ wengi tuna magonjwa sugu yaliyoshindikana hosptalini?, Wa TZ tumepoteza imani na tiba za Hospitali zetu, au .....?
Mkuu!
Hawa "manabii wa vikombe" hapa Tz wako siku nyingi tu.... hawajanza leo! Ni kwa sababu huyu babu wa Loliondo amevutia umati ndio maana na hao wengine "wanaonekana" sasa. Kwa mfano mkoa wa Kilimanjaro wako watu wengi sana wa aina hii.....
 
Njaa zimejaa makanisani. Ndo maana kuna utitiri wa makanisa ambayo ndani hakuna waumini. Lengo kuganga njaa. Matokeo ni :-DECI, WANAOJIDAI KUPONYA, BABU LOLIONDo, BIBI WA TABORA, WA ROMBO, MBEYA. Yote matunda ya utapeli makanisani.

Thanks to God Hollyspirit is alive so acha wajichore kwanza, maana tumeongea mpaka sauti zimekauka kwamba hakuna tiba nje ya jina la Yesu kwa nguvu ya roho mtakatifu watu waka m ignore roho anayeishi ndani yao nakuamini ukuu wa kikombe kwa jina la yesu wa kuchongwa! Hata kama imani inakuwa ngumu kuipata thru neno basi science itusaidie maana yenyewe tumepewa kusolve carnal problems!

Ukiona mtu anakimbia huku na kule eti akidai ni imani basi ujue hata hiyo imani hajaijua bado. Kama unaamini nivipi ushindwe kuamini roho aliye ndani yako na kuamini roho iliyo ndani ya mtu mwingine? Kwenye old testament tunasoma Mungu akisema siku zile sintaandika sheria yangu katika mbao bali katika mioyo yao...inasikitisha hata baada ya Yesu kuileta sheria hiyo ndani ya mioyo bado watu wanataka kutumia sheria inferior ya mbao ambazo zilivunjika enzi hizo Musa alipozitupa chini baada ya kukasirishwa na wana wa isarael kwa ibaada zao za sanamu.

Tulieni katika uwepo wa mungu ambaye Yesu ametuambia tumwabudu katika roho na kweli. Ni bora tufe kwa magonjwa ya mwili kuliko kufa kiroho na kurushwa rushwa kama makapi na imani za dunia hii ambazo ziko kumdhalilisha mwanadamu. Mungu anapata utukufu gani pale Loliondo? Nature inaharibiwa, watu wanakufa kila leo na bado kukaa masaa yote bila kula wala kunywa for something which you can easly get in you bila hata kumsujudia mtu. Hivi hamuoni kuwa mnamsujudia Babu kwa kufuata masharti yake magumu ya yy pekee kugawa kikombe? Dont you see he is maqking himself a god? Is he not an idol?
 
sijui nicheke au nilie.ila hata nikicheka ni kwa huzuni.
safari bado ni ndefu.
hili taifa limelaaniwa.
utadhani ze comedy kumbe ni kweli.
kweli sisi ni zaidi ya wagonjwa.
 
Sijui namie nianzishe bakuli huku kwetu usukumani labda ntapata wateja halafu nashusha bei 300 tu! Nasubiri hiyo mndoto kwa hamu
 
Watanzania akili zetu zimechakachuliwa na baba wataifa matokeo yake hayo apo.kila mtu anaibuka na kali yake tatizo lipo hapa sio kama tunaignore hivo vinavozuka bali tunavifaglia.mimi nahisi huyo babu na huyu bibi wa tabora tuwafungushe ndoa,na badaye washauriwe kuviunganisha vikombe vyao ili viwe na nguvu zaid.pumbaaav nation and its people
 
Thanks to God Hollyspirit is alive so acha wajichore kwanza, maana tumeongea mpaka sauti zimekauka kwamba hakuna tiba nje ya jina la Yesu kwa nguvu ya roho mtakatifu watu waka m ignore roho anayeishi ndani yao nakuamini ukuu wa kikombe kwa jina la yesu wa kuchongwa! Hata kama imani inakuwa ngumu kuipata thru neno basi science itusaidie maana yenyewe tumepewa kusolve carnal problems!

Ukiona mtu anakimbia huku na kule eti akidai ni imani basi ujue hata hiyo imani hajaijua bado. Kama unaamini nivipi ushindwe kuamini roho aliye ndani yako na kuamini roho iliyo ndani ya mtu mwingine? Kwenye old testament tunasoma Mungu akisema siku zile sintaandika sheria yangu katika mbao bali katika mioyo yao...inasikitisha hata baada ya Yesu kuileta sheria hiyo ndani ya mioyo bado watu wanataka kutumia sheria inferior ya mbao ambazo zilivunjika enzi hizo Musa alipozitupa chini baada ya kukasirishwa na wana wa isarael kwa ibaada zao za sanamu.

Tulieni katika uwepo wa mungu ambaye Yesu ametuambia tumwabudu katika roho na kweli. Ni bora tufe kwa magonjwa ya mwili kuliko kufa kiroho na kurushwa rushwa kama makapi na imani za dunia hii ambazo ziko kumdhalilisha mwanadamu. Mungu anapata utukufu gani pale Loliondo? Nature inaharibiwa, watu wanakufa kila leo na bado kukaa masaa yote bila kula wala kunywa for something which you can easly get in you bila hata kumsujudia mtu. Hivi hamuoni kuwa mnamsujudia Babu kwa kufuata masharti yake magumu ya yy pekee kugawa kikombe? Dont you see he is maqking himself a god? Is he not an idol?

You have explained it well, anayetaka kusikia na asikie. I am just shocked with this wind of people believing so easily. People are failing to understand healing is not a measure of God. I am not moved by signs and wonders because even the devil can do that. I am moved by the word of God inside me. It is the only weapon that will enable me to know what is wrong and right. May our God help us to discern the spirit.
 
This is now going worse! Inaonekana watu hawa walikuwa wengi, wa kuanza ndiye alikosekana. What is the source of these healing powers? Kumbuka Yesu alisema watatokea manabii wa uongo na kufanya ishara nyingi na kuwadanganya wengi. Now I get the picture! Akina Mariavictima wako wapi sasa? Kumbuka alivyomtukana miss Judith!
 
Tunaondolewa kwenye line bila kujijua. Tukija kustuka kuvuta shuka,kumekucha!. Badala tujadili matatizo makubwa ya nchi,(umeme,maji,matibabu,rushwa,ufisadi,mfumuko wa bei nk)kila siku ni hayahaya. Ngoja tuone tutafika wapi!?.
 
Duh, jamani kuna mwanamke tabora naye anatoa tiba kwa mtindo wa babu wa loliondo kwa chaji ile ile ya sh. 500 na watu kibao wanakunywa.

Source: Itv

Watanzania tumepoteza matumaini kwa kiasi kikubwa.Mbaya zaidi na Serikali inayabariki haya.
 
It means the prince of darkness is alive and well, and he is hovering the skies of TZ undetected.
 
Na pia tiba tz na wizara yake wako usingiziniiiii mpaka hali hii imekuwa hivi ilivyo sasa serikali kodi kama kawa ila huduma ziro sasa watu kama wana matatizo ya kiafya wafanyeje? wanapokea kila kijacho ili mradi tu wanaamini
 
Dar bado? Huku inabidi aoteshwe mtu wa Bunju. Dah huduma inasambaa.
 
Watanzania tumepoteza matumaini kwa kiasi kikubwa.Mbaya zaidi na Serikali inayabariki haya.

Mkuu serikali ya CCM hii kwao ni big deal, mliwakwaruza sana kwenye Dowans, mabomu ya GM, n.k mpaka akina Kikwete ngozi za uso zikaanza kushuka, wakaanza kupauka. But they are still very clever wameamua wawapige ganzi wabongo ili angalau wapumue.

Hizo taarifa zinawekwa kwenye vyombo vya habari for a purpose ili msirudi kwenye agenda za kitaifa. Nashukuru chuo kikuu wameligundua hilo j'mosi kuna kongamamo la katiba. Kwa sasa tupambane wasitutoe kwenye focus yetu.
 
Back
Top Bottom