gfsonwin umegusia kitu muhimu sana ambacho wengi wetu hatuna ujuzi nacho!
Natural medicines ni dawa ambazo zipo tangia enzi za mababu na baadhi zinajulikana pharmaceutical effects zake,mfano
St.John´s Wort,Ginkgo biloba,Valerina root lakini ikumbukwe idadi ni ndogo.For more information about natural medicine
Natural Medicines Comprehensive Database: Unbiased, Scientific Clinical Information on Complementary, Alternative, and Integrative Therapies
Lakini tatizo kubwa ni kwamba wingi wa dawa hizi hazijulikani mechanisms of action,side effects,interactions.
Nimegusia interaction ndipo tatizo linapoanzia..
Kuna interaction za aina mbili:
Pharmacokinetics na Pharmacodynamics.
Pharmacokinetics interaction inatokea mtu anapokula dawa zaidi ya moja na kunakuwa na mgongano kwasababu hizo dawa zinakuwa zinazuia/ongeza metabolization ya dawa ikisha kupeleka kuongezeka kwa dawa mwilini(which is toxic) au kupungua kwa dawa mwilini(hakuna effect ya dawa).Asilimia kubwa ya dawa zinakuwa metabolized kwenye ini na enzyme
CYP 450(CYP 3A4,CYP 2D6,CYP 1A2)n.k Dawa nyingi zinazotumia kutibu magonjwa ya
CENTRAL NERVOUS SYSTEM(CNS) yana interaction zenye madhara makubwa haswa na natural medicine kama St.Johns.Wort mfano unaweza upate Steven Johnsons syndrom!
Pharmacodynamic interaction inatokea pale dawa moja wapo inapozuia nyingine ishindwe kubind kwenye receptor au active site!
Mfano wa pharmacokinetic na pharmacodyamic interaction ni ya dawa kama Warfarin(anticoagulantia)to avoid thrombosis.Hii dawa ina interaction kama na vyakula vya kawaida ambavyo vina
VITAMIN K,pombe wachilia mbali hio St.Johns.Wort,na ukivichanganya unaongeza risk ya kuongezeka/kupungua kwa INR kitu kinachoweza kupelekea kubleed to death.
Mfano mwengine kulikuwa na kesi moja ilitokea kuna mgonjwa alikuwa na GOUT,akawa amepewa naproxen na dawa nyingenezo za kutibu hio GOUT sasa yeye alikuwa anasumbuliwa pia na postmenopausal symptoms kama ukavu kwenye uke na dalili nyingenezo kwahio akasoma sehemu kwamba SOY PRODUCTS inapunguza dalili za postmenopausal symptoms kitu ambacho ni sahihi na ofcourse SOY ni natural product nani angefikiria ina madhara..Matokeo yake ni kwamba GOUT ina worsen up na kichecheo ilikuwa SOY!Ikabidi aonye kuacha kutumia SOY hapo hapo!
LAZIMA TUWE MAKINI SANA NA MATUMIZI YA DAWA ZA MITISHAMBA HASWA UKIWA UNATUMIA DAWA NYINGINE ZA KAWAIDA ZENYE ACTIVE INGREDIENTS!