Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kukataa ushauri ni jambo baya sana kama mtatiro angekubali ushauri wa watu angefika mbali kama angeingia kwenye kundi la comedy ,futuni au kundi lolote la taarabu ingemlipa sana lakini kajifanya kichwa maji unaona sasa.Hili jembe lililokua linachipukia limepotea ghafla kama ilivyokua kwa majembe mengine ya kaliba yake kupitia bendera ileile...........kulikoni?
Hebu tufafanulie tusiomfahamu kwa ukaribu!!!Binafsi namkubali sana mtatiro ni kichwa huyu mtu
Anajenga nchi kwa vitendo sio kwa maneno ebo...
"Nchi" au "chama"!!??
Vyote kwa pamoja....mtu anapokuwa anafanya kazi kwa bidii na kulipa kodi si ndo kujenga nchi kwenyewe au...?
Si mpaka tujue mapato yake na uhakika wa kodi iliyolipwa??!!
Sasa hivi yupo facebook ana share share video za kila lilwayne na kina rihana
Huyu bingwa kuna taarifa kwamba amejiweka pembeni kwa muda ili akazanie PhD yake kwa kuhofia isije ikachacha.
sababu ya lile pama nini?Kukataa ushauri ni jambo baya sana kama mtatiro angekubali ushauri wa watu angefika mbali kama angeingia kwenye kundi la comedy ,futuni au kundi lolote la taarabu ingemlipa sana lakini kajifanya kichwa maji unaona sasa.