Uchaguzi 2020 Kuichagua CCM ni kuchagua mateso makubwa

Uchaguzi 2020 Kuichagua CCM ni kuchagua mateso makubwa

Haya ni mambo ya kweli, lakini sasa tuchague chama gani? Chadema hovyo! CUF hovyo! ACT hovyo! TLP hovyo! hebu tuongoze maana CCM kuwa wabovu haituoneshi kuna mbadala ulio bora.
 
Haya ni mambo ya kweli, lakini sasa tuchague chama gani? CDM hovyo! CUF hovyo! ACT hovyo! TLP hovyo! hebu tuongoze maana CCM kuwa wabovu haituoneshi kuna mbadala ulio bora.
Huo mbadala unataka hadi wawe malaika?.Hakuna kitu ambacho hakikosi mapungufu.

Hata hiyo ccm ilianza namapungufu kwakusua sua ikazidi kuimarika kadri miaka ilivyokua inaenda na sasa umri umekitupa mkono grafu yaukuaji imeanza kushuka.

Kwahiyo kamwe usitegemee jambo jipya toka hicho chama.Sasa ni wakati wa akili mpya na mawazo mapya kuchukua nafasi ili nawao wafanye sehemu yao kama ni mapungufu yatazidi kurekebishika kadri yamuda utakavyoruhusu.
 
Actually inawezekana CCM kama CCM Institution, haina shida kubwa kihivyo, Hapa kuna mtu mmoja Magufuli. Kuchagua Magufuli ni kuchagua KIFO na MAUTI. Hapa kuna mtu mmoja authoritarian anavuruga kila kitu na wapambe wake.
Upo sawa 100%. CCM inaweza ikawa sio shida. Tatizo ni huyu mwenyekiti wa sasa Mr. Siambiliki.
 
Naiomba Serikali itolee ufafanuzi hii kauli, ili kuondoa sintofahamu kwa wananchi,hususani wafanyakazi.

Serikali imekopa mifuko ya hifadhi za jamii PSSSF na NSSF na haijaweza kurudisha. MBAYA zaidi, mwaka huu kuanzia April hivi, Mifuko imeshindwa kulipa mafao. Jana Mh. Lisu akasema kuwa CCM imechukua pesa Za KAMPENI huko kwenye mifuko ya PSSSF na NSSF. Je wafanyakazi mnalipwa mafao yenu ya uzee na fao la kukosa ajira kwa wakati?


Mimi sijui, kamuulizeni aliyesema ..ni Mh. Lisu. Sikilizeni clip za Mwananchi Youtube.


Na akiwa Morogoro, akasema Vigogo wa CCM wamepora mashamba makubwa mvomero, Morogoro. Mkapa elfu 60, Familia ya Mwinyi elfu 60, Sumaye 2000 etc. Sehemu mbali mbali za nchi na zile ranch. Wananchi wanakosa maeneo ya kulima na kulishia mifugo...

Ni Mh. Lisu alisema...Youtube.

Sasa hizi ndio hoja za kujibu kwa Serikali..na Sio kusema kuna mtu anatukanwa..
 
Huo mbadala unataka hadi wawe malaika?.Hakuna kitu ambacho hakikosi mapungufu.Ata hiyo ccm ilianza namapungufu kwakusua sua ikazidi kuimarika kadri miaka ilivyokua inaenda na sasa umri umekitupa mkono grafu yaukuaji imeanza kushuka.Kwahiyo kamwe usitegemee jambo jipya toka hicho chama.Sasa ni wakati wa akili mpya na mawazo mapya kuchukua nafasi ili nawao wafanye sehemu yao kama ni mapungufu yatazidi kurekebishika kadri yamuda utakavyoruhusu.
Huwezi kuleta kundi la wasio na shule ukaamua kuita ni chama kinachotaka madaraka ya nchi. Hawa walistahili kujitokeza miaka ya 60 wakati tunatafuta uhuru, siyo leo 2020. Watu wanaoiba hata pesa za kampeni yao! Rubbish!
 
Aisee anaelekea huko. Tuna kila sababu ya kutomchagua magufuli
Hivi unamchagua Magu kwa sababu ipi? Mimi sikujua kumbe miradi yote hii na ununuzi wa ndege na ujenzi wa kiwanja cha ndege Chato hatujui hata bajeti yake! Wala bunge halijui, Kumbe anajua yeye tu! Hii ni hatari.
 
Actually inawezekana CCM kama CCM Institution, haina shida kubwa kihivyo, Hapa kuna mtu mmoja Magufuli. Kuchagua Magufuli ni kuchagua KIFO na MAUTI. Hapa kuna mtu mmoja authoritarian anavuruga kila kitu na wapambe wake.
Uko sahihi mkuu, wajua hata mimi niliwahi kuwa Ccm, ila jiwe ndiye kasababisha nitoke huko kwani siwez kuunga mkono ushetani.
 
Ilo liko wazi kabisa kwa mtu mwenye akili timamu.Ndo maana ukiona wanaokishabikia hicho chama jua wana matatizo haya yafuatayo,aidha ni waoga wa mabadiliko, au ni wanufaika wa mfumo mbovu uliopo,au uwezo wao wakufikiri nakuchanganua mambo ni mdogo kwahiyo wanasubiri kuambiwa kila kitu bila kushirikisha akili zao kwahiyo wamekariri maisha,au jua kwao wao mambo mabaya,shida,umaskini na mateso ndio furaha yao.

Na bora awe ni mtu kuanzia miaka 50 kwenda mbele unaweza kusema kuna vitu vya msingi alikosa lakini ikiwa ni kijana unaona kabisa wengi wana hayo matatizo hapo juu.
Mkuu wengi wao wana upeo mdogo wa kufikiri, jana nilicheka sana niliposikia msaidizi wangu wa ndani anaongea na mwenzie eti anapenda sana Jiwe(Alimtaja jina lake kamili), mwenzie amemaliza form four akamuuliza kwanini, akasema nampenda basi tu. [emoji23][emoji23][emoji23]
Nkajisemea moyoni kumbe ndiyo nakaa na kiazi kiasi hiki[emoji848]. Kidogo nipige chini kibarua chake lakini nkakumbuka kuwa kila mtu ana uhuru/haki ya kuwa upande wowote.
 
11. Kuichagua CCM ni kuendelea kuruhusu ukiukwaji wa katiba.

12. Kuichagua CCM ni kuchagua kuzinyima nguvu mahakama zetu. Ni kuchagua mahakama zetu kunajisiwa.

13. Kuichagua CCM ni kuchaguwa watu kuteswa kwa kubambikizwa kesi zisizokuwa na dhamana ili wakomolewe.

14. Kuichagua CCM ni kuchaguwa kuendelea kutengwa na jamii ya kimataifa.
 
Hii Ni laana inawatafuna.
Jionee mwenyewe![emoji16][emoji16]
 
Mbona hakuna mgombea yeyeto wa ccm keshazungumzia kuhusu wasiojulikana. Na je Kama wakichaguliwa Tena wasiojulikana watarudi au watakuwa likizo forever
 
Kuchagua CCM ni kuwafungia zigo la mateso makubwa Wananchi. Ni kuchagua maumivu makubwa kwa Watanzania ni lazima tuwe makini zaidi.

1. Kuchagua CCM ni kuchagua watu kuendelea kupotea bila kujua walipo, ni kuchagua watu kuendelea kupigwa risasi na wasiojulikana bila kuwajua ni kina nani...
Kama miaka mitano badobupo ni bora ukateseka zaidi ili watoto wako waje waishi bila shida kuliko kuendelea kuwatesa vizazi vijavyo kwa uroho wako
 
Nahuo ndio mtaji wao.ndo maana pamoja nakujua tatizo la watu wengi kukosa maarifa hakuna kiongozi anayelizungumzia ilo.sana sana wao wanajikita kwenye takwimu za idadi ya wanafunzi tu bila kujali ubora wa elimu na maarifa wanayoipata wananchi.Ila pole pole watu wanazidi kuelimika.ata uyo mwanao nikumuelimisha tu.
Mkuu wengi wao wana upeo mdogo wa kufikiri, jana nilicheka sana niliposikia msaidizi wangu wa ndani anaongea na mwenzie eti anapenda sana Jiwe(Alimtaja jina lake kamili), mwenzie amemaliza form four akamuuliza kwanini, akasema nampenda basi tu. [emoji23][emoji23][emoji23]
Nkajisemea moyoni kumbe ndiyo nakaa na kiazi kiasi hiki[emoji848]. Kidogo nipige chini kibarua chake lakini nkakumbuka kuwa kila mtu ana uhuru/haki ya kuwa upande wowote.
 
Japo sasa CCM inawalazimisha watu kwa nguvu na lazima ,huwezi kushindana nayo wana dola wana kila kitu, kama utafanikiwa kuvuka vikwazo vyao vyote na ukaweza kupiga kura usiangalie kulia wala kushoto ,weka alama ya tiki kwa Lisu,ondoka zako umeshatekeleza wajibu muhimu mwaka huu.

CCM chama gani hvi sasa kila kitu Raisi ,viongozi wengine wa CCM kama waungu wakibaniani,hawana msaada wowote,wapowapo tu.
 
Kilichowazi na ccm wanajua ni kwamba kwanza hawakushinda Zanzibar wala bara 2015 ndio maana ya rais kutangaza vita dhidi ya upinzani alipoingia tu madarakani. Chaguzi za madiwani na wabunge walionunua wote mnakumbuka ilikuwaje. Watz wanajua nn kilitokea December mwaka jana uchaguzi serikali za mitaa.....
Kimsingi na ccm wanajua hakuna
1. Wakulima
2. Wafanyakazi
3. Wafanyabiashara
4. Wanafunzi
Wakuichagua ccm na ndio chanzo cha haya yote kulazimisha kubaki madarakani kwa nguvu ya tume km alivoahidi rais lkn pia kwa nguvu ya dola km alivyosema Bashiru
 
Ni Mara elfu moja kitanzi cha CCM kuliko kitanzi cha chama chenu hicho ambacho kila kukicha wanachama na viongozi wenu wanakikimbia..Kuna chama hapo..jomba..usichezee watanzania wewe
 
Kilichowazi na ccm wanajua ni kwamba kwanza hawakushinda Zanzibar wala bara 2015 ndio maana ya rais kutangaza vita dhidi ya upinzani alipoingia tu madarakani. Chaguzi za madiwani na wabunge walionunua wote mnakumbuka ilikuwaje. Watz wanajua nn kilitokea December mwaka jana uchaguzi serikali za mitaa.....
Kimsingi na ccm wanajua hakuna
1. Wakulima
2. Wafanyakazi
3. Wafanyabiashara
4. Wanafunzi
Wakuichagua ccm na ndio chanzo cha haya yote kulazimisha kubaki madarakani kwa nguvu ya tume km alivoahidi rais lkn pia kwa nguvu ya dola km alivyosema Bashiru
Hahahah jomba unacheza na watanzania..naona...muulize Mange Kimav akueleze watanzania wakoje..mchana wanaweza kukuchekea ukadhan ume win..njoo kwenye sanduku la Kura Sasa uone..
 
Wajinga duniani hawakosekani!

Tanzania tuna wajinga wanaodhani Lissu atakuwa Rais wa Tanzania!

Tanzania kuna vituko!
 
Japo sasa CCM inawalazimisha watu kwa nguvu na lazima ,huwezi kushindana nayo wana dola wana kila kitu, kama utafanikiwa kuvuka vikwazo vyao vyote na ukaweza kupiga kura usiangalie kulia wala kushoto ,weka alama ya tiki kwa Lisu,ondoka zako umeshatekeleza wajibu muhimu mwaka huu.

CCM chama gani hvi sasa kila kitu Raisi ,viongozi wengine wa CCM kama waungu wakibaniani,hawana msaada wowote,wapowapo tu.
Mbowe atimuliwa na wanachadema ktk kampeni huko jimboni kwake!
Ungejikita kwanza kwenye kempu yenu..
 
Back
Top Bottom