Kayla kang
Member
- Mar 14, 2024
- 5
- 10
Ligi itaongezeka timu kutoka 16 hadi 17 means kuna gharama zitaongezeka hapa..nan atawajibika??
Mechi zao mapato yatakua yanaenda wapi?? Kumbuka n game za hisan tu.
Timu gan itakayotia full mkoko kwny game na Hilal akat ana game mbele plus safari.
Vitu kama red card, yellow card na issue zote za kinidhamu kwny hii game zitakuaje? Yaan mtu akipata umeme vs Hilal akose game inayofuata au??
Vp issue za awards kama mfungaj bora, kipa bora nk zitahusisha ad mechi za hii timu?
Opinion yangu ingekua hv..
Wakubaliwe kushiriki kama wapinzan kbs, points zihesabiwe kama kawaida, awepo kwny msimamo, lkn asipate reward yyt ile kuanzia kama timu ad kwa wachezaji..means hawi bingwa wala hashuki daraja, mchezaj wake hawi mfungaj wala mchezaj bora wala kipa bora..mfano akiongoza msimamo basi mshindi wa pili ndo anatangazwa kama bingwa hii itaongeza ushindan na atakipata anachokitaka (mechi za ushindani)
Mechi zao mapato yatakua yanaenda wapi?? Kumbuka n game za hisan tu.
Timu gan itakayotia full mkoko kwny game na Hilal akat ana game mbele plus safari.
Vitu kama red card, yellow card na issue zote za kinidhamu kwny hii game zitakuaje? Yaan mtu akipata umeme vs Hilal akose game inayofuata au??
Vp issue za awards kama mfungaj bora, kipa bora nk zitahusisha ad mechi za hii timu?
Opinion yangu ingekua hv..
Wakubaliwe kushiriki kama wapinzan kbs, points zihesabiwe kama kawaida, awepo kwny msimamo, lkn asipate reward yyt ile kuanzia kama timu ad kwa wachezaji..means hawi bingwa wala hashuki daraja, mchezaj wake hawi mfungaj wala mchezaj bora wala kipa bora..mfano akiongoza msimamo basi mshindi wa pili ndo anatangazwa kama bingwa hii itaongeza ushindan na atakipata anachokitaka (mechi za ushindani)