Kuikalia na ‘mbuzi kagoma’ ni ukatili kwa wanawake

Mkuu, shape la Kapeace na @ to yeye sijawahi lishuhudia kule selfika, ningewasemea kidogo lakini ndio hivyo tena...🤣🤣haya mambo tunaenda nayo kwa mifano hai
Mkuu ERoni wewe una ushawishi kwa hawa warembo hebu fanya kuwaambia watubless na selfika tuone mshape wa Kihaya na Kinyaki maana haya makabila wamebarikiwa mizigo 🤣🤣🤣
 
Njoo basi nikukunje achana na madaftari
 
Sisi kama waume tumesema tutazipiga Kwa mikao tofauti tofauti bila kujali [emoji1787][emoji1787]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…