Kuikalia na ‘mbuzi kagoma’ ni ukatili kwa wanawake

Kuikalia na ‘mbuzi kagoma’ ni ukatili kwa wanawake

Shindwa na ulegeee kwa jina la Yesu 🙂🙂.. mie hapana hayo mambo kabisa.. Mungu hapendi, ni machukizo mbele za Mungu... hayo yaliangamiza vizazi na watu.. labda kama una ndoa
🤣🤣🤣🤣😂😂😂 kupatwa kwa jina la yesoooooo hukuuuu walai !
Nimeshendwaaaa nakuregeaaa kabesaaaa mjomba tena niwake fayaaaaaa 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥😂
 
Namie nimeshangaa kweli National Anthem eti anashangaa kuongelea kukojoza since when who which🤣🤣🤣🤣! Naona saii Yupo low sana mjomba wangu sijui nani kamuudhi hata
Sio vibaya madam, kuna wakati mwili akili na midomo haitamani kutenda maovu, mwamba wangu yupo kwenye hiyo state kwa sasa, shida ni pale roho I radhi lakini mwili ni dhaifu🤣🤣🤣
 
🤣🤣🤣🤣😂😂😂 kupatwa kwa jina la yesoooooo hukuuuu walai !
Nimeshendwaaaa nakuregeaaa kabesaaaa mjomba tena niwake fayaaaaaa 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥😂
Fire in the name of Jesus.. pepo la tamaa ya minyanduano na kukulana lishindwe na kutoweka
 
Hivi mimi leo nitafanya kazi kweli maana katoka Kapeace na To yeye sasa kaingia Antonnia stori ni za minyanduano tu mpaka raha yaani 🤣🤣🤣
Mkuu, shape la Kapeace na @ to yeye sijawahi lishuhudia kule selfika, ningewasemea kidogo lakini ndio hivyo tena...🤣🤣haya mambo tunaenda nayo kwa mifano hai
 
Back
Top Bottom