Kuikalia na ‘mbuzi kagoma’ ni ukatili kwa wanawake

Kuikalia na ‘mbuzi kagoma’ ni ukatili kwa wanawake

Mimi ni kama ile mbegu iliyoanguka kwenye miiba inasongwa na miiba haikui nikipanga niende kanisani nasongwa na raha za dunia mbegu haikui.

Eeh Mungu baba nisaidie mtumishi wako😭😭😭🙏
Mungou wa Bwana Yesu Kristo akufanyie njie.. maana kila goti litapigwa litajwapo jina Yesu
 
Hiyo ya kuikalia nilishastaafu nayo, mbuzi kagoma ndiyo doggy style si ndiyo?
Kama ni doggy style hiyo ni my favorite, hapo namtingishia mshangazi kwa style zote, anavurugwa akili plus utamu. Siiachi hiyo style.
CC Ngalikihinja
Nyie wenye tyako kubwa doggy inahitaji utaalam wa aina yake, la sivyo kidume aweza umbuka. Nyie muikalie tu au spooning, lakini the best ni mende tu🤣🤣
 
Leo umeamua ku-lay low kabisa mkuu, key ya chini kabisa mtaalam wangu?🤣🤣🤣 wewe na wale jamaa zako mna makao yenu ya pekee sijui wapi🤣🤣🤣
🙂 Hapana, ikimbieni zinaa.. ukiharibu hekalu la Roho mtakatifu, Mungu nae anakuharibu .. asee.. ikimbieni zinaa, waasherati, wachafu, wazinzi na wafirajiii hawato ingia kwenye ufalme wa Mungu.. Mie napenda ingia kwenye ufalme wa Mungu 🙂🙂
 
🙂 Hapana, ikimbieni zinaa.. ukiharibu hekalu la Roho mtakatifu, Mungu nae anakuharibu .. asee.. ikimbieni zinaa, waasherati, wachafu, wazinzi na wafirajiii hawato ingia kwenye ufalme wa Mungu.. Mie napenda ingia kwenye ufalme wa Mungu 🙂🙂
Mkuu,
Kila jambo na wakati wake, kama ndio wakati umeamua kumrudia Mungu wako basi na ikawe heri kwako. Kuna wakati wa kupanda na wakati wa kuvuna nk.
 
Mkuu,
Kila jambo na wakati wake, kama ndio wakati umeamua kumrudia Mungu wako basi na ikawe heri kwako. Kuna wakati wa kupanda na wakati wa kuvuna nk.
🙂🙂🙂 wakati ni mchache uliobaki hapa Duniani mwana wa Mungu atakuja kama mwivi... wawili wanalima mmoja anatwaliwa na mmoja abaki.. ajifanyae kuwa rafiki wa dunia hii, ni adui wa Mungu. Tuwe na hekima kama wanawali waliotunza akiba ya mafuta
 
🙂🙂🙂 wakati ni mchache uliobaki hapa Duniani mwana wa Mungu atakuja kama mwivi... wawili wanalima mmoja anatwaliwa na mmoja abaki.. ajifanyae kuwa rafiki wa dunia hii, ni adui wa Mungu. Tuwe na hekima kama wanawali waliotunza akiba ya mafuta
Sahihi kabisa mkuu,
Ngoja sisi tuendelee kula mbususu hadi nguvu zipungue kidogo🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom