Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah, umejua kuniheshimisha. Nimejiona bonge la bwana. Mara ya mwisho kuitwa hivyo sikumbuki ilikua lini. Mungu abariki wanawake wote wa aina hako. Hamjui tu ka feeling tunakokapata kuitwa hivyo[emoji1787]Sawa Baba
Mi napenda sana.....mbuzi kagoma...haswa ukikutana na mkuyenge wakipekee...
Sio ukatili ni mahaba tyu
BUSH BIN LADEN 😂😂Sintoruhusu tena demu aikalie, naungana na To yeye View attachment 2530761
OnemandownAlafu si ajabu mleta bandiko ni mwanaume
Kazi kweli kweliOnemandown
😂😂😂 vijana wako likizo ya pasaka wasameeAcheni kuvuta bangi jamani
Sasa mnaanza na kupangia watu styles za kuzagamuana??
We kila siku ule ugali nyama utatoboa?