Dah, umejua kuniheshimisha. Nimejiona bonge la bwana. Mara ya mwisho kuitwa hivyo sikumbuki ilikua lini. Mungu abariki wanawake wote wa aina hako. Hamjui tu ka feeling tunakokapata kuitwa hivyo[emoji1787]Sawa Baba
Mi napenda sana.....mbuzi kagoma...haswa ukikutana na mkuyenge wakipekee...
Sio ukatili ni mahaba tyu
BUSH BIN LADEN 😂😂Sintoruhusu tena demu aikalie, naungana na To yeye View attachment 2530761
OnemandownAlafu si ajabu mleta bandiko ni mwanaume
Kazi kweli kweliOnemandown
😂😂😂 vijana wako likizo ya pasaka wasameeAcheni kuvuta bangi jamani
Sasa mnaanza na kupangia watu styles za kuzagamuana??
We kila siku ule ugali nyama utatoboa?