Kuikalia na ‘mbuzi kagoma’ ni ukatili kwa wanawake

Kuikalia na ‘mbuzi kagoma’ ni ukatili kwa wanawake

Pale ukisoma unajiona makundi yote upo, kundi lingine ni wasomaji wa kimya kimya, kuna wasomaji watakatifu, wanaosoma na kujaribu halafu hawatoi credit, kuna mahakimu wa kuhukumu miandiko,, maisha mafupi acha watu wapeane uroda
mie bado sijawai onja uroda.. sijui inakuwagaje tu.. 😅😅
 
Ndoani kuna mitindo ya heshima tu ikiongozwa na mtindo wa kawaida wa kifo cha mende. Hiyo mitindo mingine ni vurugu tu na si rafiki kwa baadhi ya maumbile ya dushe. Wachepukaji ndiyo hufanyiwa mitindo ya ajabu ambayo mabwana zao hawawafanyii ili kuwakomoa kwa kuwa wamelipwa fedha na michepuko yao. Cha ajabu wameibuka wahubiri wa ajabu wanahamasisha tendo la ndoa lifanywe kwa staili zote iwezekanavyo. Hawa wahamasishaji hawajui si kila staili itafaa kwa maumbile ya wanandoa
 
Back
Top Bottom