Kuna dem wangu mwaka jana mwezi wa 9 nlimpeleka kusoma chuo kwa makubaliano akitoka huko awe mke mdogo, sasa amefika huko naona simwelewi ugomvi hauishi, mara hivi mara simu haipatikani siku nzima mara usiku mzima kazima simu, sasa nikamwekea kirusi, nlimtumia laki 1 rafiki yake ili anipe abc za huyu mtu coz nliambiwa sitoi bila hela. Kwanza nikafanya wagombane baadae ndo nikawa karibu na huyu rafiki yakenimepewa na nisivyovijua ijumaa alizima cm mida ya saa 11 ikaja kuwaka saa 5 asubuhi akasema iliisha chaj, kumbukaa ni kitochi, jana nimechat naye hadi 4 usiku tukaagana mm nikalala kumbe kaondokankwenda kulala kwa jamaa yake wa ijumaa alilala huko. Basi amekuja kuwasha cm saa 7 mchana mm nishapewa kila kinachoendelea.
Ss kuna dogo mdogo wake huwa tunachat tu kama shemeji ikabidi nimwambie she mwenzio hali mbaya tunafanyeje. Shem akasema nikusaidie vipi ss maananww nishemeji yangu, usingekuwa shem ningekupa. Nikamwambia assume sio shem habu njoo kwanza mengine tutajua mbele kwa mbele ukija. Inashort nimemaliza kula saiz. Shemeji yangu mtam mara 1000⁰⁰0 ya sister bado milage inasoma